Mtanzania1
JF-Expert Member
- Dec 30, 2010
- 1,168
- 167
Kumbe Polisi walighadhabika baada ya wafuasi wa CDM kuwazomea? kazi kweli kweli.
Mkuu kuzomea ndiyo adhabu yake ni kifo??? mbona Waziri Mkuu alizomewa lakini hakuna aliyeuawa?? sembuse polisi!!.....
Katika tafrani hiyo, kijana Zona, ambaye alikuwa anasoma magazeti aliuawa wakati Polisi walipokuwa wakiwatawanya wafuasi wa CHADEMA.
Polisi walidaiwa kutumia risasi za moto na mabomu ya machozi kuwatawanya waandamanaji.
Watu wengine waliojeruhiwa katika tafrani hiyo wameelezwa kuwa ni mwendesha baiskeli, Hashim Seif ambaye alijeruhiwa kwa kupigwa risasi mguuni akiwa anapita na baiskeli yake na kijana mwingine aliielezwa kuwa ni muuza matunda, Frank Valimba aliyejeruhiwa kwa kupigwa risasi tumboni.
Kwa mujibu wa ripoti ya uchunguzi wa madaktari wa Hospitali ya Mkoa wa Morogoro, jeraha lililokutwa kwenye kichwa cha marehemu huyo lilitokana na kurushiwa kitu kizito.
You dont seem to think even once so why cant think ten times to boost you empty head instead of telling noble thinks to think twice? Mh! stupid joke.Hilo ndo tatizo lako! hushughulishi huo mpira wa duara juu ya shingo yako,mwenyewe unaita kichwa,kufikiri na kuona beyound bounderies! unaamua moyo wako ukubali unachohisi ww kuwa ni sahihi! Think twice!
Huyu mwandishi wa hii habari ana udhaifu mkubwa sana. Aliyeuwawa na polisi ni Zona na hata huyo anayesema 'hakufa' anakiri aliyeuwawa ni Zona. The only pieace of infomation ya kusahihisha ni 'occupation' ya merehemu. Alichotakiwa kusema ni kwamba 'ajira' ya marehemu Zona haikuwa kuuza magezeti bali kubeba mizigo.
Sijaelewa mantiki ya habari hii!!
At least tumepata shahidi mwingine!!!
Mkuu kuzomea ndiyo adhabu yake ni kifo??? mbona Waziri Mkuu alizomewa lakini hakuna aliyeuawa?? sembuse polisi!!.....
Kumbe Polisi walighadhabika baada ya wafuasi wa CDM kuwazomea? kazi kweli kweli.
Kweli nyani haoni ***** lake!Hujiulizi! Hivi kwa nini walioandamana kama wameihalifu sheria ya nchi, mbona hawapelekwi sehemu husika?kwani alolazimisha kuandamana wakati polisi wamezuia ni nani? Tafakari,chukua hatua,usiwe unapenda kila unachokiona!
Kama issue ni waandamanaji mbona wanaua wasoma magazeti na kujeruhi waendesha baiskeli. Mimi nafikiri kama maandamano ni ualifu basi wangesubiri wakati waandamanaji wamebeba mabango yao wawashamulie halafu wakatangaze kwenye vyombo vya habari kuwa tumeua waandamanaji kadhaa ambao walifanya uhalifu wa kuandamana.kwani alolazimisha kuandamana wakati polisi wamezuia ni nani? Tafakari,chukua hatua,usiwe unapenda kila unachokiona!
your the great thinker, kwa watu wa kawaida wemeelewaSijaelewa mantiki ya habari hii!!