Mtanzania1
JF-Expert Member
- Dec 30, 2010
- 1,168
- 167
Kumbe Polisi walighadhabika baada ya wafuasi wa CDM kuwazomea? kazi kweli kweli.
Mkuu kuzomea ndiyo adhabu yake ni kifo??? mbona Waziri Mkuu alizomewa lakini hakuna aliyeuawa?? sembuse polisi!!.....