Sorry jamani
Mwezenu nataka kujua sababu kubwa ya wanzazibar kudai wao wawe nji huru isiyo tegemea muungano kutoka bara,
Swall "inamaanisha kwamba hakuna manufaa wanayo yapata bara hali tunaona wanzazibar kibao wamejazana kariakoo wakifanya biashara zao.
Nini kikubwa kinacho wapa jeuri ya kujitenga.
Fredrick ngwale-Dar es salaam.
Mwezenu nataka kujua sababu kubwa ya wanzazibar kudai wao wawe nji huru isiyo tegemea muungano kutoka bara,
Swall "inamaanisha kwamba hakuna manufaa wanayo yapata bara hali tunaona wanzazibar kibao wamejazana kariakoo wakifanya biashara zao.
Nini kikubwa kinacho wapa jeuri ya kujitenga.
Fredrick ngwale-Dar es salaam.