Filosofia ya Rorya
JF-Expert Member
- Sep 20, 2021
- 3,211
- 3,614
Katika awamu hii ya sita ya uongozi wa Tz, Wazanzibar wamejikuta wana marais wawili huku Watanganyika wakiwa watupu.
Hata Makamu wa Rais wa Tz hakuwahi kuchaguliwa kwa kura na Watanganyika.
Ni kiongozi wa kitaifa anayetokana na uchaguzi lakini ambaye hakuchaguliwa.
Wazanzibar wana marais 2 Watanganyika je?
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Hata Makamu wa Rais wa Tz hakuwahi kuchaguliwa kwa kura na Watanganyika.
Ni kiongozi wa kitaifa anayetokana na uchaguzi lakini ambaye hakuchaguliwa.
Wazanzibar wana marais 2 Watanganyika je?
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app