Muungano ukivunjika Zanzibar itatawaliwa

Muungano ukivunjika Zanzibar itatawaliwa

Clemence Baraka

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2012
Posts
1,693
Reaction score
652
:der: Imeonekana katika kipindi cha kuchangia katiba kwamba sehemu kubwa ya wazanzibari hawautaki muungano na kwa sasa ni wazi jambo lenye utata zaidi katika mabadilikoya katiba ni hili la muungano.

Maono yangu ni kwamba kama itatokea muungano umevunjika iko siku zanzibari itakua sio huru tena na pengine kutawaliwa kabisa na Tanzania Bara.

Nasema hivyo kwa kuwa baada ya kuvunjika muungano ziko dalili kwamba Wazanzibari wanaweza wakafanya mambo ambayo yanaweza kuhatarisha usalama wa Tanzania Bara kama vya kigaidi na ikifika hapo bara haitaweza kuvumilia hali hiyo na italazimika kuchukua uamuzi wa kuivamia Zanzibari ili kujinusuru. Ni kama vile ilivyotokea Somalia kwa kuvamiwa na Kenya.

Dhambi ya ubaguzi haitaisamehe Zanzibari na itapata laana ya Mwalimu aliyekata roho akilia muungano usivunjwe. Sijui ni nini kinawatokea Wazanzibari! Wabara tumeishi nao kwa upendo japo kwa uchache wao lakini wamekataa upendo na sasa wanachagua uadui.

Maono yangu yanaenda mbali zaidi kwamba endapo ugomvi utatokea watatafuta msaada uarabuni lakini wakumbuke vita hiyo itapiganwa kwenye ardhi yao na madhara yake si haba. MUNGU IBARIKI TANZANIA.
 
Dhana ya uarabu ni kubwa sana kwa hisia za wazanzbar wengi na wakati mwingine inajificha katika dini. Nimeongea na wazanzbar wengi wa kawaida na wengi wao hudhani kuwa Waislamu watakuja kuviendeleza visiwa hivyo kama muungano ukivunjika. Kama Muungano ukivunjika watakuja kujua kuwa hiyo ilikuwa dhana potofu. Kwa kiwango kikubwa waarabu watakuja kutawala na kuchuma zaidi ya kuendeleza. Muungano ukivunjika ni kweli kuwa Tanzania bara haitakuwa salama kwa sababu zanzbar itageuka kuwa safe heaven ya magaidi. Kumbuka kuwa magaidi wengi duniani (si wote) wamejificha katika mwavuli wa kutetea dini. Hata sasa dalili zinajionyesha kuwa tayari kuna vikundi vya kigaidi zanzbar. Kuuwawa kwa padri jana, na yule mwingine aliyepigwa risasi wakati wa Krismass ikiwa ni pamoja na kuchoma makanisa sio dalili nzuri hata kidogo.
 
Dhana ya uarabu ni kubwa sana kwa hisia za wazanzbar wengi na wakati mwingine inajificha katika dini. Nimeongea na wazanzbar wengi wa kawaida na wengi wao hudhani kuwa Waislamu watakuja kuviendeleza visiwa hivyo kama muungano ukivunjika. Kama Muungano ukivunjika watakuja kujua kuwa hiyo ilikuwa dhana potofu. Kwa kiwango kikubwa waarabu watakuja kutawala na kuchuma zaidi ya kuendeleza. Muungano ukivunjika ni kweli kuwa Tanzania bara haitakuwa salama kwa sababu zanzbar itageuka kuwa safe heaven ya magaidi. Kumbuka kuwa magaidi wengi duniani (si wote) wamejificha katika mwavuli wa kutetea dini. Hata sasa dalili zinajionyesha kuwa tayari kuna vikundi vya kigaidi zanzbar. Kuuwawa kwa padri jana, na yule mwingine aliyepigwa risasi wakati wa Krismass ikiwa ni pamoja na kuchoma makanisa sio dalili nzuri hata kidogo.
Kuwawa kwa padri ni ugaidi jee kuwawa kwa watu wengine ambao huko kwenu Tanganyika mnauwana kila siku ni uwinjilist? Ni juzi tu mumemnyofoa mkono Albino hukuona wewe?Ni mwezi huu mwenzenu alimuuwa mkewe kisa kanda mbili hukusikia wewe? Ni karibuni tu kamanda wa polisi aliuwawa jee waliomuwa walikuwa Hao Magaidi unaowachukia.Hawa waliomuwa Kamanda wa Polisi ni Watawa.Acheni hisia zenu mbovu za kidini na chuki binafsi.Wacheni vyombo vya Dola vifanye kazi yake na mtajua nani yuko mbele na matukio haya.
 
Zanzibar ikijitenga aitakalika kwani wazanzibar wanajigawa katika makundi tofauti tofauti kwa mfano kuna wapemba,waunguja kuna wazanzibara na hata waarabu wachache. baada ya kuvunjika muungano lazima wachinjane tu.huu muungano unawanufaisha wao kuwa salama na amani kutawala.Na wanaolilia mwarabu kurudi Zanzibar historia inawapiga chenga. labda kama wako tayari kuuzwa kwa mafungu kama dagaa.
 
Mungano kuvunjika mpaka sisi Watanzania tuamue. Hata hivyo vurugu ni nyingi mno sasa kiasi kwamba adha ya upande wa pili inataka kuzid uvumilivu wetu.
 
Endeleeni kujifariji,target yetu ipo palepale,jamhuri ya watu wa z'br kwanza.
 
:der: Imeonekana katika kipindi cha kuchangia katiba kwamba sehemu kubwa ya wazanzibari hawautaki muungano na kwa sasa ni wazi jambo lenye utata zaidi katika mabadilikoya katiba ni hili la muungano.

Maono yangu ni kwamba kama itatokea muungano umevunjika iko siku zanzibari itakua sio huru tena na pengine kutawaliwa kabisa na Tanzania Bara.

Nasema hivyo kwa kuwa baada ya kuvunjika muungano ziko dalili kwamba Wazanzibari wanaweza wakafanya mambo ambayo yanaweza kuhatarisha usalama wa Tanzania Bara kama vya kigaidi na ikifika hapo bara haitaweza kuvumilia hali hiyo na italazimika kuchukua uamuzi wa kuivamia Zanzibari ili kujinusuru. Ni kama vile ilivyotokea Somalia kwa kuvamiwa na Kenya.

Dhambi ya ubaguzi haitaisamehe Zanzibari na itapata laana ya Mwalimu aliyekata roho akilia muungano usivunjwe. Sijui ni nini kinawatokea Wazanzibari! Wabara tumeishi nao kwa upendo japo kwa uchache wao lakini wamekataa upendo na sasa wanachagua uadui.

Maono yangu yanaenda mbali zaidi kwamba endapo ugomvi utatokea watatafuta msaada uarabuni lakini wakumbuke vita hiyo itapiganwa kwenye ardhi yao na madhara yake si haba. MUNGU IBARIKI TANZANIA.
Mama ako ndio atakuwa mtawala wa Zanzibar
 
:der: Imeonekana katika kipindi cha kuchangia katiba kwamba sehemu kubwa ya wazanzibari hawautaki muungano na kwa sasa ni wazi jambo lenye utata zaidi katika mabadilikoya katiba ni hili la muungano.

Maono yangu ni kwamba kama itatokea muungano umevunjika iko siku zanzibari itakua sio huru tena na pengine kutawaliwa kabisa na Tanzania Bara.

Nasema hivyo kwa kuwa baada ya kuvunjika muungano ziko dalili kwamba Wazanzibari wanaweza wakafanya mambo ambayo yanaweza kuhatarisha usalama wa Tanzania Bara kama vya kigaidi na ikifika hapo bara haitaweza kuvumilia hali hiyo na italazimika kuchukua uamuzi wa kuivamia Zanzibari ili kujinusuru. Ni kama vile ilivyotokea Somalia kwa kuvamiwa na Kenya.

Dhambi ya ubaguzi haitaisamehe Zanzibari na itapata laana ya Mwalimu aliyekata roho akilia muungano usivunjwe.


Hivi nakuuliza, huu muungano ni wa Nyerere au ni wa nchi mbili? hilo tu naomba nijibu!
 
Zanzibar ikijitenga aitakalika kwani wazanzibar wanajigawa katika makundi tofauti tofauti kwa mfano kuna wapemba,waunguja kuna wazanzibara na hata waarabu wachache. baada ya kuvunjika muungano lazima wachinjane tu.huu muungano unawanufaisha wao kuwa salama na amani kutawala.Na wanaolilia mwarabu kurudi Zanzibar historia inawapiga chenga. labda kama wako tayari kuuzwa kwa mafungu kama dagaa.

Na ndio maana sisi tuko ngangari kuulinda Muungano kwa gharama yoyote! kwani ukivunjika, bara tutaanza kuchinjana kati ya Waislamu na Wakristo, Mchagga na Mpare, Mnyamwezi na Msukuma, Mnyakyusa na Mhehe, Mhaya na Mkerewe, Mmasai na MMeru, Mbulu na Mbarbaig, Mrangi na Mmangati!nk!
 
Nachojua Zanzibar haijawahi kayika historia yake yote kuwa huru. Hata jina Zanzibar ni la kikoloni. Mwenye uhakika kama Zanzibar katika uhai wake wote imepata kuwa huru atueleze hapa.
 
Nachojua Zanzibar haijawahi kayika historia yake yote kuwa huru. Hata jina Zanzibar ni la kikoloni. Mwenye uhakika kama Zanzibar katika uhai wake wote imepata kuwa huru atueleze hapa.

Mhh!soma historia vizuri,yaani hujui hata muungano huu ni wa nchi ipi na ipi!!!
 
Back
Top Bottom