Muungano Imara wa ndugu zetu Wamarekani uko Majaribuni, tuzidi kuwaombea!

Hakuna jimbo lolote Marekani linajaribu hata kuandaa taratibu za kujitenga na cha ajabu katiba yao inaruhusu ingawa utaratibu wake ni mrefu.
Hii habari yako umeitoa kwenye kilabu cha kimpumu
 
Hakuna jimbo lolote Marekani linajaribu hata kuandaa taratibu za kujitenga na cha ajabu katiba yao inaruhusu ingawa utaratibu wake ni mrefu.
Hii habari yako umeitoa kwenye kilabu cha kimpumu
Chaujuaji hapa umeongea kama ofsa kutoka white house tawi la mwembe madole mivumoni.
 
Hakuna jimbo lolote Marekani linajaribu hata kuandaa taratibu za kujitenga na cha ajabu katiba yao inaruhusu ingawa utaratibu wake ni mrefu.
Hii habari yako umeitoa kwenye kilabu cha kimpumu
Texas mara kadhaa wamekuwa wakionesha hali za kutaka kujitenga na sio Texas pekee na hizi ni harakati za muda mrefu hivyo acha kupotosha kuwa eti hakuna majimbo yasiyo taka kujitenga na kuunda nchi zao kivyao.
 
Texas mara kadhaa wamekuwa wakionesha hali za kutaka kujitenga na sio Texas pekee na hizi ni harakati za muda mrefu hivyo acha kupotosha kuwa eti hakuna majimbo yasiyo taka kujitenga na kuunda nchi zao kivyao.
Marekani ina watu wa kila aina, hata wanaojiita Mungu pale Marekani wapo. Na hatuwezi sema Marekani ndipo Mungu alipo sababu kuna watu kadhaa wanadai ni Mungu.
Pale Nevada jangwani kuna wahuni kama 30 hivi wanaojiita Republic of Molossia na wana fedha yao, Rais wao, hawatozani kodi na wanajiona ni nchi ila wanamiliki ekari 10 ambazo wanazilipia kodi ya ardhi kwa serikali ya jimbo la Nevada. Hawa tangu miaka ya 1970s wapo tena nchi yenyewe waliihamishia pale haikuanzia Nevada. Na waliwahi omba kuwa huru ila mchakato wa kutambuliwa na Marekani ukakosa nguvu.

Miaka ya hivi karibuni kuna DJ alianzisha Republic yake ndani ya jimbo lingine. Na kuna mwaka jamaa mmoja alitangaza nyumbani kwake ni nchi inajitegemea akaipa jina.

Katiba ya Marekani ina kila kitu walio serious kujitenga wanafuata kilichopo, muungano wa Marekani sio wa kulazimishana. Kupiga yowe barabarani bila kuchukua hatua ni wendawazimu.
 
muungano wa Marekani sio wa kulazimishana.
Aiseeh!

SKIP TO CONTENTSKIP TO SITE INDEX
SEARCH & SECTION NAVIGATION




One Texas Secessionist Who Fled Into Mountains Is Killed​

  • Share full article


By Sam Howe Verhovek
  • May 6, 1997
See the article in its original context from
May 6, 1997, Section A, Page 16Buy Reprints
New York Times subscribers* enjoy full access to TimesMachine—view over 150 years of New York Times journalism, as it originally appeared.
SUBSCRIBE
*Does not include Crossword-only or Cooking-only subscribers.
A member of the militant secessionist group known as the Republic of Texas was shot and killed today in a gun battle with the Texas authorities in the Davis Mountains here.
The man was one of two group members who fled on foot on Saturday, as the police held their fire and as the republic's leader and four other followers were surrendering. He was killed after both fugitives fired at a state police helicopter overhead and at several redbone hounds that had been tracking them. The other fugitive was not captured.
At least three of the hounds were shot by the fugitives. One was killed, two were expected to survive, and a fourth was missing late tonight, the authorities said.
In Dallas today, a 25-count Federal indictment was unsealed against the group's leader, Richard L. McLaren, on charges related to phony Republic of Texas checks.
ADVERTISEMENT
SKIP ADVERTISEMENT


This evening, state troopers on horseback rode into the mountains here to retrieve the body of the dead fugitive. The body was taken to Marfa, Tex., but the authorities did not say which man it was.
The two fugitives, who were armed with deer hunting rifles, an AK-47 and possibly one or more handguns, have been identified as Richard Keyes 3d, 21, of Kansas, and Mike Matson of Chicago, whose age the authorities now say is 48. Late tonight, Mike Cox, a spokesman for the state Department of Public Safety, described the dead man as ''middle-aged,'' indicating that it was likely to be Mr. Matson, but there was no official confirmation of that.
A version of this article appears in print on May 6, 1997, Section A, Page 16 of the National edition with the headline: One Texas Secessionist Who Fled Into Mountains Is Killed. Order Reprints | Today’s Paper | Subscribe
  • Share full article





ADVERTISEMENT
SKIP ADVERTISEMENT


Site Index​


Site Information Navigation​

 
Back
Top Bottom