Ntemi Kazwile
JF-Expert Member
- May 14, 2010
- 2,182
- 307
Jamani,
Napenda kujua tu kuhusu madhara au manufaa yatokanayo na muundo huu mpya wa serikali kwa wafanyakazi wa idara zilizohamishwa je watahama?
Na wanakohamia kama watahama watahama na vitendea kazi vyao kama vile computer?
Vipi kuhusu bajeti ambayo tayari ilishaidhinishwa na bunge ya 2010/2011, au ndio itabidi bunge liidhinishe marekebisho ya bajeti January/February.
Je hii inatuambia nini kuhusu mapendekezo ya CHADEMA kwamba wizara na muundo wa serikali unatakiwa uainishwe kwenye katiba?
Napenda kujua tu kuhusu madhara au manufaa yatokanayo na muundo huu mpya wa serikali kwa wafanyakazi wa idara zilizohamishwa je watahama?
Na wanakohamia kama watahama watahama na vitendea kazi vyao kama vile computer?
Vipi kuhusu bajeti ambayo tayari ilishaidhinishwa na bunge ya 2010/2011, au ndio itabidi bunge liidhinishe marekebisho ya bajeti January/February.
Je hii inatuambia nini kuhusu mapendekezo ya CHADEMA kwamba wizara na muundo wa serikali unatakiwa uainishwe kwenye katiba?