technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 13,680
- 58,675
marekani kwa muda mrefu zaidi kuliko alivyoishi MalawiLazima wamteteee, la sivyo atawashughulikia akirudi! Yaani rais anakutana na investors kwa siri hivyo, hata picha hamna! Ni uongo, jamaa yupo gheto huko USA anakula bata.
Haaaah mkuu haya bwana au ndio kupishana angani kwa membe?ukizingatia ameisi
marekani kwa muda mrefu zaidi kuliko alivyoishi Malawi
Haaah ndio viongozi wa kiafrika haoLazima wamteteee, la sivyo atawashughulikia akirudi! Yaani rais anakutana na investors kwa siri hivyo, hata picha hamna! Ni uongo, jamaa yupo gheto huko USA anakula bata.
Mwenzu anaSigni mikataba ya Mafuta ndani ya ziwa Malawi... siye tunamfuatilia mambo yake !! Fyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuup