FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,066
- 40,725
- Thread starter
- #21
Regulation is the correct word, thanks!Kufungiwa ni ngumu labda wafanye regulation
Regulation is the correct word, thanks!Kufungiwa ni ngumu labda wafanye regulation
sasa si wengine ndo office hadi tunajenga kwa ku bet...itakuweje au ndo tuwe wavunjaji...wakae wakijua mchezo waku bet umeanzishwa maksud kwa ajili ya kupunguza baadhi ya addiction mbaya kama madawa ya kulevya na wizi...Betting ni kamari..! ebo!
Vitabu vyote vya din vimekataza kamal
Taifa linageuka kuwa la watu wanaoamini wanaweza kutajirika bila kufanya kazi.., hii ni HATARI MNO kwa taifa!huu usainiwe bila hata kwenda bungeni!unafanya watu kubweteka na kutaka vya bure...
Twaelekea kuwa Korea Kaskazini sasa!
huu usainiwe bila hata kwenda bungeni!unafanya watu kubweteka na kutaka vya bure...
Haya ndio mambo ya msingi ambayo Serikali inatakiwa kufanya haraka sana sio mitandao ya kijamii.
Lini watapeleka wa kunyonga mafsadi.