Mdanganywa
JF-Expert Member
- Jun 15, 2009
- 620
- 343
Wakuu Thinkers
Nimetumiwa SMS kwamba leo bungeni mnamo saa kuna muswada umesomwa kuhusu ku-empower locals na kwamba kazi zipewe wageni pale tu ambako locals hawana proffession hiyo. Na ikatanjwa kampuni ya TIGO kwamba ina ma-directors waegni wengi.
Je, ni kweli hili, mliosikia tujuzeni kwa uzuri zaidi, maana kama ni kweli basi habari hii ni moto wa kuotea mbali kulingana na ukweli kwamba foreigners kwenye employments zetu, basi hii ni burning issues hapa nchini.
Nimetumiwa SMS kwamba leo bungeni mnamo saa kuna muswada umesomwa kuhusu ku-empower locals na kwamba kazi zipewe wageni pale tu ambako locals hawana proffession hiyo. Na ikatanjwa kampuni ya TIGO kwamba ina ma-directors waegni wengi.
Je, ni kweli hili, mliosikia tujuzeni kwa uzuri zaidi, maana kama ni kweli basi habari hii ni moto wa kuotea mbali kulingana na ukweli kwamba foreigners kwenye employments zetu, basi hii ni burning issues hapa nchini.