muswada kurudi bungeni then what?

muswada kurudi bungeni then what?

Simchezo

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2012
Posts
463
Reaction score
374
wana jf, nini faida ya muswada wa sheria ya katiba kurudishwa bungeni ukajadiliwe upya wakati wabunge wa ccm ni wale wale wanaoongozwa na ushabiki wa kisiasa na wa upinzani idadi yao ni ile ile?, nn kitakachowabadilisha akina mwigulu, wasira etc?
 
wana jf, nini faida ya muswada wa sheria ya katiba kurudishwa bungeni ukajadiliwe upya wakati wabunge wa ccm ni wale wale wanaoongozwa na ushabiki wa kisiasa na wa upinzani idadi yao ni ile ile?, nn kitakachowabadilisha akina mwigulu, wasira etc?

Unauliza unataka kujua au huna uhakika na swahili lako?
 
Nawapongeza wabunge wa ccm na rais kikwete kwa ujumla
 
Na kweli hiyo katiba ni kwa ajili ya CCM mil. 5 na si watanzania mil. 40
 
Unarudi ili kutoa nafasi ya kuingiza yale yote yaliyokubaliwa kuwa ni muhimu kwa vile hayakupata nafasi ya kujadiliwa kwenye kikao kilichopitisha awali. Though it is difficult to predict kama kwa idadi ya hao wabunge wa chama tawala wataweza kushawishika na kuyakubali.
 
unarudi ili vurugu zitokee ndungai aite sungusungu, wam bebe lisu na kumtupa nje ya ukumbi wa bunge, kwa sababu aliwaita "ma/mi-ccm" pale jangwani
 
wana jf, nini faida ya muswada wa sheria ya katiba kurudishwa bungeni ukajadiliwe upya wakati wabunge wa ccm ni wale wale wanaoongozwa na ushabiki wa kisiasa na wa upinzani idadi yao ni ile ile?, nn kitakachowabadilisha akina mwigulu, wasira etc?

Hii mkuu inachanganya vichwa sijui nani anayetupiga sindano za ganzi au nusu kaputi ili tusifikirie, na nikajiuliza maswali machache yafuatayo;
  • Muswada umesainiwa tar 10/10/2013 manaake tayari ni sheria, sasa kinachorudishwa bungeni ni muswaada au sheria?
  • Kwasababu kwa saini ya rais huu si muswaada tena bali ni sheria unajadiliwa kwa hati ya dharura au kwa msingi ipi?
  • Rais anasema wapeleke maboresho haraka, hivi Tume ya Warioba ya katiba mpya mbona kama imekufa tayari maan sasa mratibu mkuu wa mchakato ni Rais mwenyeye hii ni haki Watanzania?
  • Mlalamikiwa wa kwanza katika matatizo ya mchakato wa katiba mpya ni Rais mwenyewe na wabunge wa ccm, kwanini wapinzani waendelee na mikutano na Rais wakati amekwisha saini muswada?
  • kama kweli mapendekezo ya uteuzi wa wawakilishi wa makundi hayakufuatwa na rais mwenyewe, je, haya mapendekezo kuna imani yataingizwa na kubadilisha uhalisia wa sheria hiyo ya mabadiliko katika "outcome" ya sheria yenyewe?


Huu ni utamaduni wa kisiasa wa aina gani katika aina zote za "Political Culture" hapa duniani? Mbona haya ni Tanzania tu jamani????????????????????
 
Mleta mada, uwe unafatilia mambo kabla ya kuleta humu jf. Thred yako ilipaswa kuwa hapa mwaka jana
 
hayo ndio maisha tuliyoamua kuishi kama mbwai na iwe mbwai tu,mi nilishajua huo mchakato wa katiba mpya ni kiini macho tu kesi ya nyani hakimu ngedere unategemea nini?
 
Wadau wa zanzbar hawakushirikishwa,je sheria ikisharudishwa bungeni kanuni zitaruhusu hao wadau kuingia bungeni?
 
Hamna kitu hapa kama Rais ni mmoja wa 77% unafikiria nini?? Mjinga anashabikiwa na wajinga, kinachofuata ni mauwaji tu.
Huwezi endesha nchi kitapetapeli namna hii, katiba ya watanzania inahitajika na itapatikana tu
 
hii mkuu inachanganya vichwa sijui nani anayetupiga sindano za ganzi au nusu kaputi ili tusifikirie, na nikajiuliza maswali machache yafuatayo;
  • muswada umesainiwa tar 10/10/2013 manaake tayari ni sheria, sasa kinachorudishwa bungeni ni muswaada au sheria?
  • kwasababu kwa saini ya rais huu si muswaada tena bali ni sheria unajadiliwa kwa hati ya dharura au kwa msingi ipi?
  • rais anasema wapeleke maboresho haraka, hivi tume ya warioba ya katiba mpya mbona kama imekufa tayari maan sasa mratibu mkuu wa mchakato ni rais mwenyeye hii ni haki watanzania?
  • mlalamikiwa wa kwanza katika matatizo ya mchakato wa katiba mpya ni rais mwenyewe na wabunge wa ccm, kwanini wapinzani waendelee na mikutano na rais wakati amekwisha saini muswada?
  • kama kweli mapendekezo ya uteuzi wa wawakilishi wa makundi hayakufuatwa na rais mwenyewe, je, haya mapendekezo kuna imani yataingizwa na kubadilisha uhalisia wa sheria hiyo ya mabadiliko katika "outcome" ya sheria yenyewe?


huu ni utamaduni wa kisiasa wa aina gani katika aina zote za "political culture" hapa duniani? Mbona haya ni tanzania tu jamani????????????????????

mkuu hata mimi nimepigwa butwaa,sasa kuna maana gani vyama vya upinzani kukutana na rais wakati amesha usaini kuwa sheria? Pili: Ndani ya bunge walio wengi ni wabunge wa chama cha mapinduzi na kwawingi wao mambo yatakua yale yale, kimsingi uwezekano wa watanzania kupata katiba mpya ni ndoto,bali tutaletewa katiba ya kiccm,habari ndio hio,
 
mh! yangu macho, viongozi wetu watupe rout mapema tuelekee ikulu
 
wabunge wa ccm huangalia upepo wa mwenyekiti wao unakovumia tu , wewe subiri uone watakavyolamba viatu vya Tundu lissu , yale mapovu ya Hamis yatakakopotelea utashangaa !
 
Hii mkuu inachanganya vichwa sijui nani anayetupiga sindano za ganzi au nusu kaputi ili tusifikirie, na nikajiuliza maswali machache yafuatayo;
  • Muswada umesainiwa tar 10/10/2013 manaake tayari ni sheria, sasa kinachorudishwa bungeni ni muswaada au sheria?
  • Kwasababu kwa saini ya rais huu si muswaada tena bali ni sheria unajadiliwa kwa hati ya dharura au kwa msingi ipi?
  • Rais anasema wapeleke maboresho haraka, hivi Tume ya Warioba ya katiba mpya mbona kama imekufa tayari maan sasa mratibu mkuu wa mchakato ni Rais mwenyeye hii ni haki Watanzania?
  • Mlalamikiwa wa kwanza katika matatizo ya mchakato wa katiba mpya ni Rais mwenyewe na wabunge wa ccm, kwanini wapinzani waendelee na mikutano na Rais wakati amekwisha saini muswada?
  • kama kweli mapendekezo ya uteuzi wa wawakilishi wa makundi hayakufuatwa na rais mwenyewe, je, haya mapendekezo kuna imani yataingizwa na kubadilisha uhalisia wa sheria hiyo ya mabadiliko katika "outcome" ya sheria yenyewe?


Huu ni utamaduni wa kisiasa wa aina gani katika aina zote za "Political Culture" hapa duniani? Mbona haya ni Tanzania tu jamani????????????????????

Nadhani watauclassify vile wanajua......its a kind of movie. ........let's wait and see
Time will tell!
 
Back
Top Bottom