Katiba tunayoitaka ni muhimu iwe ya WATANZANIA, sio ya chama fulani---CCM/CDM/CUF. Tunataka katiba ya Watz. Sasa kumeibuka kundi ambalo linajiona ndio TZ, Tutafika kweli namna hiyo. kesho vurugu zikitokea utawasikia wachochezi hao wachochezi hao akina, nani?
hakuna majibu, hivi CCM wakiruhusu wananchi wakatoa maoni yao namna wanavyotaka watawaliwe, wao (CCM) kinawauma kitu gani?
Sana sana tunachoshuhudia sasa ni kampeni za udini tu,