Muswada kuahirishwa: Serikali Imesoma Alama za NYAKATI?

Nimekerwa sana na mchango wa Mbunge mmoja wa CCM Kagera leo. Kilichonishanga ni jinsi Wabunge wa CCM (ingawa ni kawaida yao) kuweka hoja pembeni na kuanza kumjadili Tundu Lissu!
Wakati anachangia hoja alimjadili Lissu na baadae akazungumza ati CCM tutaulinda Muungano kwa nguvu zetu zote! Nilijiuliza huyu mama ana nguvu gani ya kutoa kauli hiyo? Maana si yeye si Waziri, tena kama Watazani hawataki huo Muungano, yeye ana mamlaka gani ya kuzuia? Inaonekana hawa Wabunge wa CCM ni vilaza sana.
 
Tetesi hizi umezipata wapi au umekaa tu ukawaza hivyo,ila ni ngoja tusubiri tetesi hii kama itakuwa kweli,ila wajue ya kwamba wapitishe au waahirishe tunao tu!
 
sio inaonekana WABUNGE WA CCM NI VILAZA SANA TENA WENYE LAANA YA UFISADI NA ULAFI WA MADARAKA.
 
unajua dhambi ya wizi inawatafuna na yeyote ambaye yupo ccm ajieleze kama yeye si mwizi hapa!
MAJIZI NA MAJAMBAZI NA MILA RUSHWA TUU!
 
Nimekerwa sana na mchango wa Mbunge mmoja wa CCM Kagera leo. Kilichonishanga ni jinsi Wabunge wa CCM (ingawa ni kawaida yao) kuweka hoja pembeni na kuanza kumjadili Tundu Lissu!
Wakati anachangia hoja alimjadili Lissu na baadae akazungumza ati CCM tutaulinda Muungano kwa nguvu zetu zote! Nilijiuliza huyu mama ana nguvu gani ya kutoa kauli hiyo? Maana si yeye si Waziri, tena kama Watazani hawataki huo Muungano, yeye ana mamlaka gani ya kuzuia? Inaonekana hawa Wabunge wa CCM ni vilaza sana.
Watanzania huwaambii kitu kuhusu Muungano wao. Dharau, aibu, kiburi na ukichaa aliounyesha LISSU na kuwatukana Wanzanzibar hadharani kamwe hakuna mtanzania atakaeuvulia hata kidogo.
 
Hawana ufahamu wa kutosha wengi wa hawa wabunge wa ccm, ni kero tupu..wana boa kichizi
 
Watanzania gani hao unaowaongelea ww ? Hivi unafuatilia na kusikiliza majadiliano ya baraza la wawakilishi Zanzibar au ni yale yale ya kufikiri kwa masaburi ?

Eti aibu kiburi na ukichaa, do you even remember what Seif Hamad na CUF used to cry about kabla ya hiyo ndoa yao ya mkeka na CCM..?

Acheni ushabiki wa kijairo-jairo, use your brain people (eti unajiita sugu1 bila hata aibu....)

Watanzania huwaambii kitu kuhusu Muungano wao. Dharau, aibu, kiburi na ukichaa aliounyesha LISSU na kuwatukana Wanzanzibar hadharani kamwe hakuna mtanzania atakaeuvulia hata kidogo.
 
KUELEKEA KATIBA MPYA, ZANZIBAR MOJA -TANZANIA VIPANDE VIPANDE!!!

Mambo yakienda kama yalivyo kuelekea kupata Katiba mpya tunashuhudia Zanzibar ikiwa na Umoja na Mshikamano katika kutetea Maslahi ya Zanzibar............ lakini tofuati na huku Bara tunakwenda kwenye meza tukiwa na makovu ya kurushiana vijembe na kuonyesha umwamba kati ya CHADEMA na CCM. CCM imesahau kwamba yenyewe ndiyo ilitakiwa iwe kiongozi wa kutuunganisha watanzania lakini yenyewe imekuwa ya kwanza kuubomoa umoja wetu..... Kwa Muswada unaoendelea utawanufaisha zaidi Wazanziabar kwa sababu yote waliyokuwa wanadai yameingizwa. Sisi Wabara tunakwenda kuandaa Katika tukiwa vipande vipande. CCM imekuwa ikijitahidi kuchakachua ili iendelee kutawala bila hata kuangalia maslahi ya Wabara. NI bora usitishwe ili Tanzania Bara tuwe na Mwafaka wa Kitaifa la sivyo ile ndoto ya Katiba mpya na Tanzania mmoja haitakuwepo......... CCM situkeni mmeingizwa mkenge na wazanzibar!!!!!!!!

Sısı sıo Wabara, sısı nı Watanganyıka.
Zanzıbar they are small cog ın a large machıne(Katıba)
 
Watanzania huwaambii kitu kuhusu Muungano wao. Dharau, aibu, kiburi na ukichaa aliounyesha LISSU na kuwatukana Wanzanzibar hadharani kamwe hakuna mtanzania atakaeuvulia hata kidogo.

Nimesoma kwa makini maoni ya kambi ya upinzani, kiukweli serikali imebanwa sana na muswada huo. Njia sahihi ya kujinusuru kwa mujibu wa CCM ni kuwachanganya wananchi kuwa maoni ya upinzani ni upotoshwaji wa wazi dhidi ya wananchi huku wakijua kuwa siyo kweli!!!!
Endelea kuwa kizani kama upo jela ambako hun access ya habari.
 
Wapendwa wanajamii

Jinsi mambo yanavyoenda ndani ya Serikali ya CCM, kuna uwezekano Muswada tete ukaahirishwa...hadi Bunge la Feb 2012.

Naomba tuwe wavumilivu hadi hapo kesho jioni....

uahirishwe usiahirishwe lazima tuwashitaki kwa wananchi
 
Waahirishe au wapitishe ni sawa tu. Huu ni mswaada wa sheria ya ccm, mswaada wa sheria ya Watanzania bado haujaja. Tunausubiri kwa hamu mswaada utakokuwa na matakwa ya wananchi badala ya matakwa ya watawala.
 
Watanzania huwaambii kitu kuhusu Muungano wao. Dharau, aibu, kiburi na ukichaa aliounyesha LISSU na kuwatukana Wanzanzibar hadharani kamwe hakuna mtanzania atakaeuvulia hata kidogo.

Acha kupotosha watu hapa wewe, leo unajifanya hujawahi yasikia matusi na kashfa za wazanzibari kuhusu muungano!!! Mt wa karibu tu hebu fuatilia makala za mzanzibari kwenye Raia Mwema. Watanganyika wamekuwa wema na wapole sana ktika suala la muungano, na hata hapo bungeni CUF wanakubaliana na CCM kwa sababu huo muswaada unawabeba zaidi wao kuloiko Watanganyika na hata ukisoma makala ya wiki hii kutoka Zanzibar utauona huo ukweli
 
.
Kweli kabisa
Isitoshe Celina kombani (Waziri wa sheria) na Mwanasheria mkuu ndio walikuwa wa kwanza kusema tanzania haihitaji katiba mpya. Hakuna sehemu waliwahi kukanusha usemi wao wala kuomba radhi kwa watanzania juu ya kauli zao. Leo hii wao ndio waratibu wa mswada wa katiba bungeni. Inawezekana kweli kitu usichokipenda ukakisimamia ua ni unafiki tu. Tunamuomba JK kama anania ya dhati ya kuleta katiba mpya awatoe watu hawa katika nafasi zao au wafute kauli zao kwa sababu hawawezi kusimamia wanachokiamini. Wananiudhi kweli

mwisho wa ubaya aibu...wale wote waliochangia bila kutoa hoja ya msingi zaidi ya mipasho prize yao ni aibu.
 
source ni wapi? tujuze tafadhali


Wapendwa wanajamii

Jinsi mambo yanavyoenda ndani ya Serikali ya CCM, kuna uwezekano Muswada tete ukaahirishwa...hadi Bunge la Feb 2012.

Naomba tuwe wavumilivu hadi hapo kesho jioni....
 
Back
Top Bottom