Steve Dii
JF-Expert Member
- Jun 25, 2007
- 6,402
- 1,254
Nimejiuliza hili swali kwa wiki tatu zilizopita, tangu Muswada wa marejeo ya katiba uwekwe hadharani. Swali hili moja linalonijia ni:
- Iwapo kitu kikubwa kama Muswada wa marejeo ya kutunga katiba mpya unaandaliwa katika mapungufu yale na watu bila aibu wanajisifu kutayarisha Muswada ule; je, mikataba mingi ambayo imebakia kuwa siri kwa wananchi iliyosainiwa na hawa tunao wathamini kuwa viongozi wetu itakuwa katika hali gani ya mapungufu dhidi ya maslahi ya Taifa letu?!
Steve Dii
- Iwapo kitu kikubwa kama Muswada wa marejeo ya kutunga katiba mpya unaandaliwa katika mapungufu yale na watu bila aibu wanajisifu kutayarisha Muswada ule; je, mikataba mingi ambayo imebakia kuwa siri kwa wananchi iliyosainiwa na hawa tunao wathamini kuwa viongozi wetu itakuwa katika hali gani ya mapungufu dhidi ya maslahi ya Taifa letu?!
Steve Dii