Kwa maelezo uliyo yatoa hayo yote, hashwa la kupunguza wafanyakazi, kuzuia overdraft, na kufunga baadhi ya branch, naomba nikutume yafutayo utuletee apa janvini tutapata jibu zuri.
1.Tafuta kama unaweza kupata Current Financial report angalau ya mwaka jana ya benk yao. sijajua kama waliitoa gazetin au la, ukituletea hiyo. Tuta angalia kwenye BALANCE SHEET tuone liabilities zao zina uiano gan na Asset zao.
Lakini pia tuta angalia walipata profit au loos!!!
Kwa mtazamo wa haraka naona kama siyo mabadiriko ya tecknologia nahisi wana operate under loss!! na hii wanavyo fanya uenda ni recomandation za auditor waweze ku-minize cost na angalau ku-max mize profit. Jaribu kufanya hivyo mimi binafusi nikiiona hiyo report nitapata cha kuchangia mkuu.
Ila ushauri wa haraka wa bure, Ukiona mwenzio ananyolewa saloon, wanasema na wewe andaa kichwa tihari. nafikiri kama vip wewe anza pia kufikiria ni benk gan unaweza kuhamishia fedha yako