Mussa Balla Conte is Green & Yellow

Mussa Balla Conte is Green & Yellow

Balla conte ni midfield defender ni mcheza mzuri sana. Alikuwa anaitaji na vilabu vya ulaya sema walitoa offer ndogo sana.
Hata zamalek pia.

Ishu ya kufungwa hio ni nishu nyingine.
Unapotafuta mchezaji mzuri unaangali mchezaji yeye kama yeye jinsi anavyocheza na uwezo wake akiwa uwachanjani,

Ishu ya timu kupata matokeo uwanjani inatemeana na timu mzima kwa ujumla .

Ungemchukua pacome afu umpeleke ken gold , bado wangeshuka tuu daraja
Umeeleweka mkuu..ndo maana nimesema tuache muda sasa ufanye kazi yake...
 
Wakuu

====

Habari ya Khalid Aucho imeishia hapa?

Yanga wamekamilisha usajili wa kiungo wa CS Sfaxien, Mussa Balla Conte (21) kwa mkataba wa miaka mitatu hadi Juni 2028.

Conte, ambaye pia alikuwa kwenye rada za Simba SC, ametua akitokea Tunisia na kupokelewa na viongozi wa Yanga SC kwa ajili ya mazungumzo ya mwisho kabla ya kusaini mkataba rasmi.

Nyota huyo anatajwa kuwa mmoja wa viungo wenye kipaji kikubwa na uwezo wa kucheza kama kiungo wa kati au mkabaji, na Yanga SC wanaamini atakuwa nyongeza muhimu katika kikosi chao kuelekea msimu wa 2025/26.
Kweli Aucho atakuwa anaondoka.
 
Qmaamake viongozi wa simba dah!, sio siri wanatutesa sana mashabiki alafu tukisema tunaonekana wachawi sijui, binafsi naanza kumuelewa Mchome
Endeleeni kuwekeza kwenye PROPAGANDA na kuwahonga wachambuzi uchwara ili waichafue YANGA
 
Screenshot_20250718-181623_YouTube.jpg
 
Yanga huwa inawapiga bao simba kwenye eneo hili! Huu ni msimu wao wa tatu mfululizo wamekuwa wakisajili kwa ajili ya kujaza tu nafasi, badala ya kusajili kwa mihemko na kukivuruga kabisa kikosi chote kila msimu unapoanza kama wafanyavyo simba.

Anatoka Auocho, anakuja Balla! Anatoka Aziz Kii anakuja Doumbia! Yaani ni bandika bandua, huku maumivu kwa wapinzani yakiendelea kubakia palepale!
 
Ni bonge la mchezaji wacha tuendelee kuwafunga wazee wa kuzuiws getini.
Yanga nao ndo wanafanya nin sasa. Wanasajiri Conte alafu wanamuacha Aucho wakati bado yuko vizuri sana. Hiyo namba wangekaa nao wote ili mmoja akikosekana gap lisionekane
 
Wakuu

====

Habari ya Khalid Aucho imeishia hapa?

Yanga wamekamilisha usajili wa kiungo wa CS Sfaxien, Mussa Balla Conte (21) kwa mkataba wa miaka mitatu hadi Juni 2028.

Conte, ambaye pia alikuwa kwenye rada za Simba SC, ametua akitokea Tunisia na kupokelewa na viongozi wa Yanga SC kwa ajili ya mazungumzo ya mwisho kabla ya kusaini mkataba rasmi.

Nyota huyo anatajwa kuwa mmoja wa viungo wenye kipaji kikubwa na uwezo wa kucheza kama kiungo wa kati au mkabaji, na Yanga SC wanaamini atakuwa nyongeza muhimu katika kikosi chao kuelekea msimu wa 2025/26.
Kwani huyu ni nani? Ana ubora gani?
 
Yanga nao ndo wanafanya nin sasa. Wanasajiri Conte alafu wanamuacha Aucho wakati bado yuko vizuri sana. Hiyo namba wangekaa nao wote ili mmoja akikosekana gap lisionekane
Aucho waarabu wamefika bei kubwa sana huko uarabuni pesa ambayo Yanga wasingeweza kumbakisha viungo Yanga vipo vya kumwaga ingawaje mwanzo gap litaonekana ila watakaa sawa tu.
 
Aucho waarabu wamefika bei kubwa sana huko uarabuni pesa ambayo Yanga wasingeweza kumbakisha viungo Yanga vipo vya kumwaga ingawaje mwanzo gap litaonekana ila watakaa sawa tu.
Aucho yuko sawa wacha ukachukue mpunga kabla hajastaafu! Hatumdai chochote Aucho ameitendea haki klabu! Ila siyo uarabuni nilisikia ni Vietnam!
 
Kwani ndo ana nini huyo Balla Hatun?
Utafikiri labda ni Messi sijui...
Yani ukiingia mtandaoni unashangaa...asije akaw kama Birigimana...😄😄😄🤣🤣🤣🤣
Ngoja nakuletea clip Ahmed analia 😀 nadhani utaelewa
 
Aucho yuko sawa wacha ukachukue mpunga kabla hajastaafu! Hatumdai chochote Aucho ameitendea haki klabu! Ila siyo uarabuni nilisikia ni Vietnam!
Ok sawa aende kokote akachukue mpunga mrefu huku sisi kafanya kazi ya kutosha wacha akavune kwa miaka miwili iliyobakia..
 
Yanga nao ndo wanafanya nin sasa. Wanasajiri Conte alafu wanamuacha Aucho wakati bado yuko vizuri sana. Hiyo namba wangekaa nao wote ili mmoja akikosekana gap lisionekane
Umri ushaenda aucho, nguvu zimepungua.

Afu anatumia mara kwa mara.
 
Back
Top Bottom