Musoma walia njaa kali, waomba serikali iwasaidie

Nucky Thompson

JF-Expert Member
Sep 20, 2016
1,817
4,058


Wilaya ya Musoma vijijini inakabiliwa na baa la njaa kutokana na ukame wa muda mrefu uliokumba
Wanasema wanahitaji tani 3000 za chakula ili wauziwe kwa bei nafuu
Mbunge wa jimbo hilo Sospeter Muhongo amewataka madiwani wa kila kata kufanya tathimini kujua ukubwa wa tatizo
 
Mkuu alishaonya mapema juu huo wimbo hatakikuusikia na atakae uimba ajiandae kutumbuliwa
 
BUNDA WAJIANDAE KUNYOLEWA KULE HAKUNA MVUA.
WATU WALIACHA KULIMA MAHINDI WAkaIIMA MTAMA NAKO IMEKUWA SHIDA.

MKOA WA MARA Kwa ujumla KUANZIA MWEZI WA TATU MWAKANI
WATALIA NA KUSAGA MENO.

sijui kwingineko hali ipoje
 


Wilaya ya Musoma vijijini inakabiliwa na baa la njaa kutokana na ukame wa muda mrefu uliokumba
Wanasema wanahitaji tani 3000 za chakula ili wauziwe kwa bei nafuu
Mbunge wa jimbo hilo Sospeter Muhongo amewataka madiwani wa kila kata kufanya tathimini kujua ukubwa wa tatizo

Hii single ilishapigwa marufuku kwa awamu hii isimbwe sasa mtunzi ajiandae
 
Subirini kidogo!!!
Tumeripia ndege kesh juzi juzi tu na nyie reo mnaanza kuriaria?
Inawabidi muwaige wanaume wa daresaramu!!!
Punguzeni kura kura hovyo!!!

"mkulu Mentality" prediction.
 
Hali ni mbaya Tanzania yote ila huko naona ndo itazidi afu isitoshe ni semi desert
 
Vipi kuhusu mwandishi wa habari aliyeripoti habari hii bado hajawekwa Mahabusu kwa amri ya DC??
 
Back
Top Bottom