Musoma kumewaka.

Musoma kumewaka.

Lai Otieno

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2013
Posts
311
Reaction score
90
Maandamano yakupinga bunge la katiba. Yanaendelea muda huu musoma mjini . Kuwanzia kurumuri nipo mitaa ya chuo cha ustawi wa jamii buhare hapa wanainchi waliobeba mabango mbali mbali wapo barabarani wanaelekea ofisi ya mkuu wa mkoa mara..
 
Naona polis wa Musoma wana busara. Waache tu watembee wakichoka wataenda kulala.
 
maandamano ni haki ya msingi kwa aliyedhurumiwa kupeleka ujumbe wake kwa wahusika. busara itumike kuweka askari a kuwalinda wasilete vurugu kwa shughuli za wengine
 
Safi polisi wa musoma.msikubali kuwapiga na kuwaumiza ndugu zenu kwa amri ya makada wa ccm kina mangu, chagonja na mgulu
 
Maandamano yakupinga bunge la katiba. Yanaendelea muda huu musoma mjini . Kuwanzia kurumuri nipo mitaa ya chuo cha ustawi wa jamii buhare hapa wanainchi waliobeba mabango mbali mbali wapo barabarani wanaelekea ofisi ya mkuu wa mkoa mara..

hayo maandamano yako kwenyemasaburi yako or? Mimi nipo hapa chuo cha maendeleo ya jamii buhare na sijaona maandamano au inawezekana hao wanaandamana kwa kiini macho? kweli wapuuzi ndio waliwao.
 
hayo maandamano yako kwenyemasaburi yako or? Mimi nipo hapa chuo cha maendeleo ya jamii buhare na sijaona maandamano au inawezekana hao wanaandamana kwa kiini macho? kweli wapuuzi ndio waliwao.
Si wako 10.
 
Back
Top Bottom