Lai Otieno
JF-Expert Member
- Aug 13, 2013
- 311
- 90
Maandamano yakupinga bunge la katiba. Yanaendelea muda huu musoma mjini . Kuwanzia kurumuri nipo mitaa ya chuo cha ustawi wa jamii buhare hapa wanainchi waliobeba mabango mbali mbali wapo barabarani wanaelekea ofisi ya mkuu wa mkoa mara..