Musoma: Kituo cha kazi

Musoma: Kituo cha kazi

kalemauji

JF-Expert Member
Joined
Jun 24, 2014
Posts
1,620
Reaction score
1,831
Habari wanajf?ndugu zangu nimeajiliwa na NGO moja hapa nchini ila kituo cha kazi ni musoma mjini sasa wadau nilikuwa nauliza vipi gharama za nyumba za kupanga huko musoma na maisha kwa ujumla?ahsanteni sana.
 
kwanza kabisa jisikie mwenye bahati kuja musoma... ni pahala pazur kwa kuish hakika utafurahia... gharama za maisha ni za kawaida tu kilo ya nyama ni elfu nne mpaka elf tano.. kilo ya unga ni vijisenti tu..

gharama za chumba zitategemea na aina ya chumba na sehem utakayo amua kuishi... kama utaamua kuish uswahilin huko au nje ya mji na ukataka chumba cha kawaida.. gharama zitapungua na kufikia mpaka elfu 20 kwa mwez.. ila kama utaish hapa kwetu mkendo na ukataka chumba kizur na full service (maji, umeme na kuangalia fainal za W.C bure) lazima tushikane mashart kwenye bili aisee...

onyo.. usipo lipa bili yetu utakiona cha moto
 
hapo kwenye onyo nimependa, pia mpe na onyo kama hajaoa/kuolewa hakikishe anakuwa na mtu wake, akivamia vya watu malizia onyo la huko.
 
kwanza kabisa jisikie mwenye bahati kuja musoma... ni pahala pazur kwa kuish hakika utafurahia... gharama za maisha ni za kawaida tu kilo ya nyama ni elfu nne mpaka elf tano.. kilo ya unga ni vijisenti tu..

gharama za chumba zitategemea na aina ya chumba na sehem utakayo amua kuishi... kama utaamua kuish uswahilin huko au nje ya mji na ukataka chumba cha kawaida.. gharama zitapungua na kufikia mpaka elfu 20 kwa mwez.. ila kama utaish hapa kwetu mkendo na ukataka chumba kizur na full service (maji, umeme na kuangalia fainal za W.C bure) lazima tushikane mashart kwenye bili aisee...

onyo.. usipo lipa bili yetu utakiona cha moto

nashukuru mdau ila mbona vitisho vingi sana unanipa
 
Jiandae kukutana na mapanga ya kutosha mweee..... inabidi uwe na heshima debe LA sivyo watakutemira amina muraa.... hahaaaaa......
Unaenda Sudan ndogo
 
Unafki, usengenyaji, kujiskia sana kwetu mwiko...ila zaid kaambali na wake au wame za watu...laasivyo utarud kwenu nusu ukiwa na maghecho mwilin
 
Ahahaaa nipo maeneo ya Tarime kila siku nakula nyama sema tatizo ni kwamba ikishafika saa 1 jioni uwe umeishajifungia ndani tayari maana nimeambiwa mapanga ni jadi yao! Huku hakuna cha karibu ila unaambiwa 'Sasa unaingia mkoa wa Mara''
 
Nasikia kununua panga musoma unatakiwa uwe na kibali cha umiliki toka serikalini
 
Back
Top Bottom