Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 59,988
- 105,040
vipi kuhusu lowasa alipigania chadema? mpaka mkataka awe rais?
Ccm mpya inaiiga cdm ya zamani!?
vipi kuhusu lowasa alipigania chadema? mpaka mkataka awe rais?
vipi kuhusu lowasa alipigania chadema? mpaka mkataka awe rais?
Ndipo uwezo wako wa kufikiri ulipoishia?Umesahau moja, yeye pia SIYO Mchaga, hivyo hana chake chadema!
Nini maana ya kununuliwa? Iwapo biashara zako zainauwawa kisa siasa unaiitaje hiyo.Dhana ya kila anayehamia kanunuliwa sasa inahitaji fikra zaidi.
Nyie huwa mnazaliwa na nani? Hata akili ya kuvukia barabara huna?Umesahau moja, yeye pia SIYO Mchaga, hivyo hana chake chadema!
Kama alivyoondoka dr Mihogo?Kuondoka kwa Hasanali ni pigo kwa CHADEMA
Ila ni msukuma ndio maana ameenda kwa mwenzakeUmesahau moja, yeye pia SIYO Mchaga, hivyo hana chake chadema!
Kutishiwa kufilisiwa mali zako napo ni kununuliwa hata Msando alitishiwa kufungiwa biashara zake. Ambaye anunuliki mwenye biashara na asiemwogopa Magufuli na ccm yake ni Mbowe. Huwezi kumnunua Mbowe anayo madhaifu yake kama binadamu lkn katika bei Mbowe amewashinda ccm HANUNULIKIKwanza kabisa nimeambiwa Muslim ndiye aliyefadhili kila kitu kuanzia ukumbi wa mkutano, press yenyewena posho zote za waliohudhuria. Amefanya hivyo kwa kusudi maalum kabisa. Anaelewa anachokifanya.
Hassanali anaelekea CCM huku kukiwa na uhakika kuwa Zungu hatogombea tena ubunge 2020 baada ya kuhakikishiwa kuwa atakikalia kile kiti cha mhimili uliomezwa ambao kila kwenye press ya ikulu lazima awepo mwenye mhimili. Hivyo Zungu anaenda kustaafu kugombea jimbo la Ilala.
Muslim Hassanali anaingia moja kwa moja kuwa mmoja wa wadhamini wapya wa CCM yeye hana mawaa hivyo JPM atamkubali kutokana na fikra zilizojengeka.Pia Hassanali hahitaji siasa za kiuana harakati ambazo zipo Chadema kwa wengi wao. Hahitaji kupigana kufa na kupona eti kuhusu katiba mpya? for what? Hahitaji kujua kama nchi ina udikteta? Ili afanye nini? Yule kwanza hana cha kufia!
Sasa Hassanali anahitaji kuwekeza, anahitaji pesa ili aendelee kutamalaki Kariakoo. Hahitaji kuwa kama kina Lissu, Mnyika, Bony, Lema na wengine. Haina maana kwake. Shida yake siyo siasa. Hivyo Chadema hapamfai katu.
Kwanza ni mtu wa kupongeza kuweza kudumu Chadema kwa muda wote huo. Labda alitegemea kuwa 2015 mambo yangeenda sawa. Akapoteza, amepima siasa za serikali hii ya awamu ya tano akaona kukaa upinzani kutahitaji nguvu na msuli kwelikweli kupata jimbo kama mbunge. Ameona nguvu zinavyowagharimu kina Lema, kina Lissu. Ameona jinsi wanavyoteseka. Sasa yeye Hassanali mabadiliko ya kimfumo sijui katiba wala hayamsaidii maana hana cha kufia. Ni sawa na Rostam Aziz eti leo umwambie aingie Chadema apiganie katiba mpya? Si utasubiri hadi Yesu arudi?
Kwa kweli na kwa dhati kabisa kumuweka Muslim ndani ya Chadema kwa sasa ni kumuonea,mwacheni aende akasake maslahi! Huyu hajanunuliwa bali amenunua! Wapo ambao wakihama wala huhitaji kutumia nguvu kujua kama wamenunuliwa ila siyo huyu.
Nenda Hassanali nenda kasake fursa! Frustrations za siasa waachie wengine wapambane wewe siyo wa aina hiyo!
Ushasema Zungu hatagombea tena 2020,hivyo ni nafasi yake!!! Je,hapo hajanunuliwa? Au wewe wadhani kununuliwa ni kwa pesa tu??? JiongezeKwanza kabisa nimeambiwa Muslim ndiye aliyefadhili kila kitu kuanzia ukumbi wa mkutano, press yenyewena posho zote za waliohudhuria. Amefanya hivyo kwa kusudi maalum kabisa. Anaelewa anachokifanya.
Hassanali anaelekea CCM huku kukiwa na uhakika kuwa Zungu hatogombea tena ubunge 2020 baada ya kuhakikishiwa kuwa atakikalia kile kiti cha mhimili uliomezwa ambao kila kwenye press ya ikulu lazima awepo mwenye mhimili. Hivyo Zungu anaenda kustaafu kugombea jimbo la Ilala.
Muslim Hassanali anaingia moja kwa moja kuwa mmoja wa wadhamini wapya wa CCM yeye hana mawaa hivyo JPM atamkubali kutokana na fikra zilizojengeka.Pia Hassanali hahitaji siasa za kiuana harakati ambazo zipo Chadema kwa wengi wao. Hahitaji kupigana kufa na kupona eti kuhusu katiba mpya? for what? Hahitaji kujua kama nchi ina udikteta? Ili afanye nini? Yule kwanza hana cha kufia!
Sasa Hassanali anahitaji kuwekeza, anahitaji pesa ili aendelee kutamalaki Kariakoo. Hahitaji kuwa kama kina Lissu, Mnyika, Bony, Lema na wengine. Haina maana kwake. Shida yake siyo siasa. Hivyo Chadema hapamfai katu.
Kwanza ni mtu wa kupongeza kuweza kudumu Chadema kwa muda wote huo. Labda alitegemea kuwa 2015 mambo yangeenda sawa. Akapoteza, amepima siasa za serikali hii ya awamu ya tano akaona kukaa upinzani kutahitaji nguvu na msuli kwelikweli kupata jimbo kama mbunge. Ameona nguvu zinavyowagharimu kina Lema, kina Lissu. Ameona jinsi wanavyoteseka. Sasa yeye Hassanali mabadiliko ya kimfumo sijui katiba wala hayamsaidii maana hana cha kufia. Ni sawa na Rostam Aziz eti leo umwambie aingie Chadema apiganie katiba mpya? Si utasubiri hadi Yesu arudi?
Kwa kweli na kwa dhati kabisa kumuweka Muslim ndani ya Chadema kwa sasa ni kumuonea,mwacheni aende akasake maslahi! Huyu hajanunuliwa bali amenunua! Wapo ambao wakihama wala huhitaji kutumia nguvu kujua kama wamenunuliwa ila siyo huyu.
Nenda Hassanali nenda kasake fursa! Frustrations za siasa waachie wengine wapambane wewe siyo wa aina hiyo!
Kuwa nyamulenga ni kuwa mbaguzi, sasa mpo hadi magogoni kwetu tunalo hilo.Umesahau moja, yeye pia SIYO Mchaga, hivyo hana chake chadema!
Huyu kanunua kwenda Ccm, ndiyo maana gharama zote za ukumbi, posho za wajumbe wote waliohudhuria( kwa mujibu wa thread) kalipa yeyeG sam nimeangalia hii post yako nimecheka kinoma hizo sifa ulizommwagia Hassanal. Ni kweli ccm inawanunua viongozi wa cdm, lakini kwa huyu Hassanal nawatetea. Huyu ni kama kaenda kuwaondolea nuksi ya kununua tu wapinzani.
Kwanza kabisa nimeambiwa Muslim ndiye aliyefadhili kila kitu kuanzia ukumbi wa mkutano, press yenyewena posho zote za waliohudhuria. Amefanya hivyo kwa kusudi maalum kabisa. Anaelewa anachokifanya.
Hassanali anaelekea CCM huku kukiwa na uhakika kuwa Zungu hatogombea tena ubunge 2020 baada ya kuhakikishiwa kuwa atakikalia kile kiti cha mhimili uliomezwa ambao kila kwenye press ya ikulu lazima awepo mwenye mhimili. Hivyo Zungu anaenda kustaafu kugombea jimbo la Ilala.
Muslim Hassanali anaingia moja kwa moja kuwa mmoja wa wadhamini wapya wa CCM yeye hana mawaa hivyo JPM atamkubali kutokana na fikra zilizojengeka.Pia Hassanali hahitaji siasa za kiuana harakati ambazo zipo Chadema kwa wengi wao. Hahitaji kupigana kufa na kupona eti kuhusu katiba mpya? for what? Hahitaji kujua kama nchi ina udikteta? Ili afanye nini? Yule kwanza hana cha kufia!
Sasa Hassanali anahitaji kuwekeza, anahitaji pesa ili aendelee kutamalaki Kariakoo. Hahitaji kuwa kama kina Lissu, Mnyika, Bony, Lema na wengine. Haina maana kwake. Shida yake siyo siasa. Hivyo Chadema hapamfai katu.
Kwanza ni mtu wa kupongeza kuweza kudumu Chadema kwa muda wote huo. Labda alitegemea kuwa 2015 mambo yangeenda sawa. Akapoteza, amepima siasa za serikali hii ya awamu ya tano akaona kukaa upinzani kutahitaji nguvu na msuli kwelikweli kupata jimbo kama mbunge. Ameona nguvu zinavyowagharimu kina Lema, kina Lissu. Ameona jinsi wanavyoteseka. Sasa yeye Hassanali mabadiliko ya kimfumo sijui katiba wala hayamsaidii maana hana cha kufia. Ni sawa na Rostam Aziz eti leo umwambie aingie Chadema apiganie katiba mpya? Si utasubiri hadi Yesu arudi?
Kwa kweli na kwa dhati kabisa kumuweka Muslim ndani ya Chadema kwa sasa ni kumuonea,mwacheni aende akasake maslahi! Huyu hajanunuliwa bali amenunua! Wapo ambao wakihama wala huhitaji kutumia nguvu kujua kama wamenunuliwa ila siyo huyu.
Nenda Hassanali nenda kasake fursa! Frustrations za siasa waachie wengine wapambane wewe siyo wa aina hiyo!
Si kweliKuwa spika lazima uwe mbunge sasa huyu Zungu akistaafu atagombea vipi uspika?hapo mwandishi naona umechanganya madawa
Si lazima kuwa mbunge. Yeyote anaweza kugombea tu.Kuwa spika lazima uwe mbunge sasa huyu Zungu akistaafu atagombea vipi uspika?hapo mwandishi naona umechanganya madawa
Kweli kabisa. Chadema ni yetu sisi Wachaga.Umesahau moja, yeye pia SIYO Mchaga, hivyo hana chake chadema!
Kwanza kabisa nimeambiwa Muslim ndiye aliyefadhili kila kitu kuanzia ukumbi wa mkutano, press yenyewena posho zote za waliohudhuria. Amefanya hivyo kwa kusudi maalum kabisa. Anaelewa anachokifanya.
Hassanali anaelekea CCM huku kukiwa na uhakika kuwa Zungu hatogombea tena ubunge 2020 baada ya kuhakikishiwa kuwa atakikalia kile kiti cha mhimili uliomezwa ambao kila kwenye press ya ikulu lazima awepo mwenye mhimili. Hivyo Zungu anaenda kustaafu kugombea jimbo la Ilala.
Muslim Hassanali anaingia moja kwa moja kuwa mmoja wa wadhamini wapya wa CCM yeye hana mawaa hivyo JPM atamkubali kutokana na fikra zilizojengeka.Pia Hassanali hahitaji siasa za kiuana harakati ambazo zipo Chadema kwa wengi wao. Hahitaji kupigana kufa na kupona eti kuhusu katiba mpya? for what? Hahitaji kujua kama nchi ina udikteta? Ili afanye nini? Yule kwanza hana cha kufia!
Sasa Hassanali anahitaji kuwekeza, anahitaji pesa ili aendelee kutamalaki Kariakoo. Hahitaji kuwa kama kina Lissu, Mnyika, Bony, Lema na wengine. Haina maana kwake. Shida yake siyo siasa. Hivyo Chadema hapamfai katu.
Kwanza ni mtu wa kupongeza kuweza kudumu Chadema kwa muda wote huo. Labda alitegemea kuwa 2015 mambo yangeenda sawa. Akapoteza, amepima siasa za serikali hii ya awamu ya tano akaona kukaa upinzani kutahitaji nguvu na msuli kwelikweli kupata jimbo kama mbunge. Ameona nguvu zinavyowagharimu kina Lema, kina Lissu. Ameona jinsi wanavyoteseka. Sasa yeye Hassanali mabadiliko ya kimfumo sijui katiba wala hayamsaidii maana hana cha kufia. Ni sawa na Rostam Aziz eti leo umwambie aingie Chadema apiganie katiba mpya? Si utasubiri hadi Yesu arudi?
Kwa kweli na kwa dhati kabisa kumuweka Muslim ndani ya Chadema kwa sasa ni kumuonea,mwacheni aende akasake maslahi! Huyu hajanunuliwa bali amenunua! Wapo ambao wakihama wala huhitaji kutumia nguvu kujua kama wamenunuliwa ila siyo huyu.
Nenda Hassanali nenda kasake fursa! Frustrations za siasa waachie wengine wapambane wewe siyo wa aina hiyo!
ndo maana mkiambiwa mutubu munalilia, sasa kwani ni lazima udanganye jamn. yaan midume mingine hovyooHuyu muhindi ndio alikuwa anafadhili kampeni za CHADEMA nakumlipa mshahara katibu mkuu Mashinji