GE2025 Musiba: Nina uhakika wa kushinda kwa asilimia 87 hadi 90 ubunge Jimbo la Mwibara

GE2025 Musiba: Nina uhakika wa kushinda kwa asilimia 87 hadi 90 ubunge Jimbo la Mwibara

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,436
Reaction score
5,234
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Mwibara kupitia Chama cha Act Wazalendo, Cyprian Musiba, ameeleza kuwa kuna njama zinazolengwa kumhujumu kwenye uchaguzi dhidi ya mpinzani wake, jambo ambalo amesisitiza kuwa hawawezi kukubali.

“Nina uhakika wa kushinda kwa asilimia 87 hadi 90 kwa sababu huyo mwenzangu alishapewa nafasi 10, lakini pia sio mwadilifu. Aliwahi kufukuzwa na Mwenyekiti wake wa chama kwa ubadhirifu. Kwahiyo, Mwibara tunaletewa watu wabadhirifu ndo wawe viongozi?” amesema Musiba.

 
Musiba: Nina uhakika wa kushinda kwa asilimia 87 hadi 90 ubunge Jimbo la Mwibara
Dah,
Awamu iliyopita huyu alikuwa akijiita "mwanaharakati huru" na alikuwa mtetezi mkubwa wa mifumo ya wizi wa kura ya chama.

Ajabu sasa anaanza kulialia mapema. Asubiri tu kunyolewa, maana kwa mazingira ya sasa bila Reforms, ushindi hautokani na idadi ya kura bali utashi wa wahuni
 
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Mwibara kupitia Chama cha Act Wazalendo, Cyprian Musiba, ameeleza kuwa kuna njama zinazolengwa kumhujumu kwenye uchaguzi dhidi ya mpinzani wake, jambo ambalo amesisitiza kuwa hawawezi kukubali.

“Nina uhakika wa kushinda kwa asilimia 87 hadi 90 kwa sababu huyo mwenzangu alishapewa nafasi 10, lakini pia sio mwadilifu. Aliwahi kufukuzwa na Mwenyekiti wake wa chama kwa ubadhirifu. Kwahiyo, Mwibara tunaletewa watu wabadhirifu ndo wawe viongozi?” amesema Musiba.

Karma is a bitch!
 
kama siokosei huyu si ndio alikuwa anasema Zitto na Maalim seif wanafirana?! Yupo ACT siku hizi!?..@Zitto kabwe imekuwaje hii
 
Back
Top Bottom