McLaren
JF-Expert Member
- Feb 19, 2025
- 889
- 2,863
Wakuu,
Kama wote tunavyojua kuwa huko Uganda inatarajiwa kufanya Uchaguzi Tarehe 15 Januari na kufikia sasa kampeni zimeendelea kupamba moto na kutaradadi huku washindani wakubwa kwenye Uchaguzi akiwa ni Bobi Wine wa NUP pamoja Yoweri Museveni wa NRM
Uzi huu utakusogezea Updates zote za kinachoendelea kwenye Uchaguzi huo ambao unafuatiliwa na Afrika nzima kwa sasa
Kama wote tunavyojua kuwa huko Uganda inatarajiwa kufanya Uchaguzi Tarehe 15 Januari na kufikia sasa kampeni zimeendelea kupamba moto na kutaradadi huku washindani wakubwa kwenye Uchaguzi akiwa ni Bobi Wine wa NUP pamoja Yoweri Museveni wa NRM
Uzi huu utakusogezea Updates zote za kinachoendelea kwenye Uchaguzi huo ambao unafuatiliwa na Afrika nzima kwa sasa
- Mabomu ya machozi yapigwa wakati Bobi Wine akifanya kampeni Uganda
- Uganda: katika kampeni zinazoendelea watu wanapigwa risasi na mabomu, Kuna dalili za machafuko makubwa siku ya kupiga kura.
- Nyomi mapokezi wa Bobi Wine, Kibuku kuelekea uchaguzi mkuu
- Rais Museveni aidhinishwa na Chama chake (NRM) kuwa Mgombea Urais 2026
- Sanamu za Rais Museveni zatumika kufanya kampeni maeneo asiyokuwepo kuelekea uchaguzi wa 2026
- Amnesty International yasema kuna Utawala wa Hofu na kukithiri kwa mateso kabla ya Uchaguzi nchini Uganda
- Bobi Wine kumenyana na Museveni katika uchaguzi wa urais uganda 2026
- Museveni akimbia mdahalo wa wagombea Urais Uganda
- Polisi Uganda wamkamata mwanaharakati maarufu wa haki za binadamu kuelekea uchaguzi mkuu 2026