Hapa sasa tutaingia kwenye mjadala mwingine!!Kutii mamlaka Hiyo imo kwenye Maandiko! Mamlaka kwenda kinyume na Mungu hicho ni kitu kingine! Na ujue kwamba hakuna mamlaka iliyo juu ya Mungu!
Ushoga ni kinyume na Mungu! Sasa km serikali Fulani imepitisha sheria ya kuzuia ushoga na kwa Mungu ni jambo jema!
Hakuna unyanyapaa chanya mkuu, unyanyapaa wa aina yeyote sio mzuri, nyie ndio mnaoua wengine eti kisa wamezini halafu na wewe unaenda kuzini kisirisiri.Tuko pamoko mkulu......hatuwezi kuishi na wa.....se....nge,,,maofisini na mitaani,,,,,natamani na bunge letu lianzishe hii kitu na hapa ipite.......wanakera hawa waliwa makalio hawa......
Mkuu mimi sipendi ushoga kama ambavyo sipendi dhambi yeyote ile,Mjuni jitangaze kama nawe Obama. no.2
Hapa sasa tutaingia kwenye mjadala mwingine!!
Kwani unafikiri Mungu yeye hana uwezo wa kuwafutilia mbali mashoga!?, kwanini amewaacha wa exist?
Hujui kuwa kumfunga au kumuua mwenye dhambi, unakuwa umefanya dhambi pia?(at least kwa mujibu wa ukristo)
Hapa sasa tutaingia kwenye mjadala mwingine!!
Kwani unafikiri Mungu yeye hana uwezo wa kuwafutilia mbali mashoga!?, kwanini amewaacha wa exist?
Hujui kuwa kumfunga au kumuua mwenye dhambi, unakuwa umefanya dhambi pia?(at least kwa mujibu wa ukristo)
Hapa sasa tutaingia kwenye mjadala mwingine!!
Kwani unafikiri Mungu yeye hana uwezo wa kuwafutilia mbali mashoga!?, kwanini amewaacha wa exist?
Hujui kuwa kumfunga au kumuua mwenye dhambi, unakuwa umefanya dhambi pia?(at least kwa mujibu wa ukristo)
Scola umeandika kitu ambacho mimi nimekisema mara nyingi, dhambi sio ushoga tu, Mungu akiamua kuwaondoa wenye dhambi, Museven hachomoki. Ila Mungu hafanyi hivyo anatuacha ili kupata muda wa kujisahihisha na kutubu. Kwa nini sisi tuwahukumu kwenda jela wenye dhambi?Dhambi cyo ushoga tu rafiki.mungu ni pendo na ametupa Uhuru wa kuchagua uzma wa milele au u mauti.. Umeuliza swali la ajabu lkn naamin ni kwakuwa hujui hili.labda nikuulize pia,kwann wew mungu kakuacha unaendelea kupumua pumzi ya uhai?is it bse wee ni mwema sana au mtakatifu sn!!!!no no no!!ni kwa neema tu tuna is hi rafiki!
Scola umeandika kitu ambacho mimi nimekisema mara nyingi, dhambi sio ushoga tu, Mungu akiamua kuwaondoa wenye dhambi, Museven hachomoki. Ila Mungu hafanyi hivyo anatuacha ili kupata muda wa kujisahihisha na kutubu. Kwa nini sisi tuwahukumu kwenda jela wenye dhambi?
Aaaaaargh hii nini sasa tena,si angeanza na shetani sasa kwa mantiki yako????!!!!
Unapoanza theological reasoning in a post modern life hueleweki kabisaaaaaa????!!!
Logic and reasoning ndio inatupa mijadala na jinsi ya kuamua mambo mkuu!!!!!
Kufunga na kuua ni dhambi; ila hawa unaowatetea ndio hawafanyi dhambi???
Hiyo dhambi ya kuwafunga naomba kuishiriki; wewe shiriki ya kugeuzana mkuu!!!
Unaanza kujicontradict. Unaunga mkono wanadamu kuhukumia(alichokifanya Museven) hapohapo unasema hukumu ni juu ya Mungu na wanadamu hatupaswi kuhukumiana, which is which?Nimesema Hapo awali Maandiko yaelekeza tuzitii mamlaka! Km mamlaka imeweka sheria za kuwahukumu mashoga, Hilo swala halihsiani kabisa na Mungu! Na ni vema Kutii mamlaka na Hiyo sheria!
Tukija ktk swala la wakristo, hukumu iko kwa Mungu mwenyewe. Wanadamu hatupaswi kuhukumiana!
Aaaaaargh hii nini sasa tena,si angeanza na shetani sasa kwa mantiki yako????!!!!
Unapoanza theological reasoning in a post modern life hueleweki kabisaaaaaa????!!!
Logic and reasoning ndio inatupa mijadala na jinsi ya kuamua mambo mkuu!!!!!
Kufunga na kuua ni dhambi; ila hawa unaowatetea ndio hawafanyi dhambi???
Hiyo dhambi ya kuwafunga naomba kuishiriki; wewe shiriki ya kugeuzana mkuu!!!
Halleluya!!!Aaaaminah barikiwa sn.umeniokoa nmeipenda
Ndiyo maana nikamtahadhalisha Ntuzu, tutaingia kwenye mijadala mingine, Mungu anauwezo wa kufanya atakalo, kwa nini kawaacha wenye dhambi wanadunda tu mitaani!?, halafu unapozungumzia ushoga, hiyo moral misconduct tu, haimuathili third party, kwanini usimfunge maisha anayeiba mali za watu wengine kuliko huyu ambaye hachukui chochote cha mtu, haji kukuazima mwili wako wala hakulazimishi na wewe ufanye!?
Mkuu, unaposema fanya dhambi hii na mimi nifanye ile, hakuna tofauti kati yetu, we will be both cooked in the same pot.
Are you a christian?, umesema wakristo hukumu tunamuachia Mungu na hatupaswi kumuhukumu binadamu mwenzetu, hapa tena unasema utashiriki kuhumu watu!!, it seems you are very contraversial.Ata Mimi nashiriki ya kuwafunga maisha!
Unaanza kujicontradict. Unaunga mkono wanadamu kuhukumia(alichokifanya Museven) hapohapo unasema hukumu ni juu ya Mungu na wanadamu hatupaswi kuhukumiana, which is which?
Ndiyo maana nikamtahadhalisha Ntuzu, tutaingia kwenye mijadala mingine, Mungu anauwezo wa kufanya atakalo, kwa nini kawaacha wenye dhambi wanadunda tu mitaani!?, halafu unapozungumzia ushoga, hiyo moral misconduct tu, haimuathili third party, kwanini usimfunge maisha anayeiba mali za watu wengine kuliko huyu ambaye hachukui chochote cha mtu, haji kukuazima mwili wako wala hakulazimishi na wewe ufanye!?
Mkuu, unaposema fanya dhambi hii na mimi nifanye ile, hakuna tofauti kati yetu, we will be both cooked in the same pot.
Are you a christian?, umesema wakristo hukumu tunamuachia Mungu na hatupaswi kumuhukumu binadamu mwenzetu, hapa tena unasema utashiriki kuhumu watu!!, it seems you are very contraversial.