Musabe; Shule nzuri majengo, uongozi mbovu

kandawe

JF-Expert Member
Jun 24, 2013
1,137
809
Wanajamvi,

Kwa anaemfahamu mmiliki wa shule ya Musabe iliyoko jijini Mwanza tafadhari asaidie kufikisha ujumbe huu. Ni kweli shule imejengwa kwa standard ya kisasa na mmiliki nampongeza kwa hilo kweli aliamua kuinvest.

Tatizo lililopo shuleni hapo ni namna ya uongozi unavyoendeshwa kikabila. Mtu unafika tu hapo unagundua tatizo lililopo!! Ukabila umezidi mno kiasi kama mmiliki anaelewa basi bora shule ingejengewa Kagera ili admission ifanyike kwa kihaya.

Nilibahatika kuongea na mwalimu mmoja wa shule hiyo alilalamika sana jinsi wafanyakazi wasiokuwa wahaya mistreatment wanayofanyiwa.
Kiukweli uhaya umezidi hadi hata wazazi tuiopeleka watoto hapo tunakereka!!!

Mmiliki angalia uongozi wako,hata kama umeamua kuajiri wahaya zaidi ya 80% lakini waambie wafanye kazi na waachane na ukabila. Shule nzuri lakini inaendeshwa kilocal mno!!
 
Mainshomile ni masikini sana.

Elimu wanayo ila haiwasaidii.

Kubagua wenzao ndicho walichobakiwa nacho.

Masikini akipata matako hulia mbwataa.
 
77190-jpg.547525



22984.jpg
 
Nimeona matokeo ya kidato cha pili na darasa la nne wamefanya vizuri kwakweli...HONGERINI WALIMU NA WAFANYAKAZI WA MUSABE
Alexism, nafikiri hakuna sehemu imeandikwa watoto wanafeli, na kama wewe ni mzoefu wa elimu kwa shule zetu za kitanzania,matokeo peke yake hayawezi kukufanya kutrust shule. Nikupe mfano wa shule za Alliance za jijini Mwanza,zimekuwa zikiongoza kwa matokeo mazuri,lakini kama wewe ni mfuatiliaji,ulishawahi kufuatilia mtoto aliyemaliza hizo shule mfano kidato cha nne,akijiunga kidato cha Tano shule tofauti ufaulu wake unakuwaje? Kulikuwa na shule inaitwa Tulele primaty school,ufaulu wake ulitishia kweli kweli jijini Mwanza lakini iliishia wapi? Alliance schools zimeishia wapi? Kaizirege ilitishia leo wazazi mbona wanatoa watoto wao?
Ufaulu kwa matokeo ya jumla usikutishe ndugu yangu,mie niliongelea ubaguzi uliopo shuleni,ukabila uliopo shuleni je, unaweza kutoa mtoto mwenye upeo na maadili? Kufaulu mtihani si hoja peke yake!
 
Alexism, nafikiri hakuna sehemu imeandikwa watoto wanafeli, na kama wewe ni mzoefu wa elimu kwa shule zetu za kitanzania,matokeo peke yake hayawezi kukufanya kutrust shule. Nikupe mfano wa shule za Alliance za jijini Mwanza,zimekuwa zikiongoza kwa matokeo mazuri,lakini kama wewe ni mfuatiliaji,ulishawahi kufuatilia mtoto aliyemaliza hizo shule mfano kidato cha nne,akijiunga kidato cha Tano shule tofauti ufaulu wake unakuwaje? Kulikuwa na shule inaitwa Tulele primaty school,ufaulu wake ulitishia kweli kweli jijini Mwanza lakini iliishia wapi? Alliance schools zimeishia wapi? Kaizirege ilitishia leo wazazi mbona wanatoa watoto wao?
Ufaulu kwa matokeo ya jumla usikutishe ndugu yangu,mie niliongelea ubaguzi uliopo shuleni,ukabila uliopo shuleni je, unaweza kutoa mtoto mwenye upeo na maadili? Kufaulu mtihani si hoja peke yake!

Mkuu kwahiyo watoto ndio wanabaguliwa au nini...Maana unasema ubaguzi bila kusema huo ubaguzi wanafanyiwa akina nani?
Kaizirege aslimia kubwa ya walimu ni Waganda ila mmiliki ni Mhaya...je uoni kua huyo ndo mbaguzi kuliko wote.
MUSABE mbona kuna walimu nawajua Wasukuma,Wakurya,Wachagga,Wahaya,Wapare etc...
Mimi nawapongeza
 
Kwa suala LA ukabila kaka upo sahihi 100% hii shule imejaa wanyambo tupu si Mara Moja kijana wangu kila akienda shuleni hapo lazima aje kakwaruzana na mtumishi hapo shuleni hasa top management na masekretary wa him shule ni hovy kabisa, ila waalimu wake ni wakalimu sana hata customer care yao iko positive sana nilipeleka kijana wangu pale j3 siku yakufungua shule wako sawa sana ila unyambo sasa kha mpk kero walinzi wajinga wanjinga tu
 
Kwa suala LA ukabila kaka upo sahihi 100% hii shule imejaa wanyambo tupu si Mara Moja kijana wangu kila akienda shuleni hapo lazima aje kakwaruzana na mtumishi hapo shuleni hasa top management na masekretary wa him shule ni hovy kabisa, ila waalimu wake ni wakalimu sana hata customer care yao iko positive sana nilipeleka kijana wangu pale j3 siku yakufungua shule wako sawa sana ila unyambo sasa kha mpk kero walinzi wajinga wanjinga tu
Ata mimi nina vijana watatu pale..Huduma zao asa taaluma na nidham wako juu
 
Mmiliki wa hii shule siyo yule mama wa Muleba amewahi kuwa waziri na uteuzi ukatenguliwa baadae
Mimi pia nilisikia hivyo. Ila hataki kujulikana.

Siku moja nilifika pale kumpeleka mwanafunzi. Sasa tulikiwa na mwenzangu. Binti hakufannya vema interview but yule mwenzangu ni mhaya.

Wakaanza kuongea kihayaa na headmistress. Akamchukua bint.
 
Nawashangaa sana mnaoitetea hii shule kuhusu ukabila. Mpinge au msipinge hii shule inaongozwa katika mfumo wa kikabila zaid hasa ktk uongozi wa ngazi za juu na katika ajira. Kama wa sio mhaya probability ya kupata ajira pale ni ndogo saana. Niliwahi kwenda kuulizia kama naweza pata nafasi ya kufundisha Physics au Mathematics cha ajabu ktk kupiga story tu na mlinzi pale nje akaniuliza "kwanza ww ni kabila gani" .... He he he inasikitisha aisee
 
Nawashangaa sana mnaoitetea hii shule kuhusu ukabila. Mpinge au msipinge hii shule inaongozwa katika mfumo wa kikabila zaid hasa ktk uongozi wa ngazi za juu na katika ajira. Kama wa sio mhaya probability ya kupata ajira pale ni ndogo saana. Niliwahi kwenda kuulizia kama naweza pata nafasi ya kufundisha Physics au Mathematics cha ajabu ktk kupiga story tu na mlinzi pale nje akaniuliza "kwanza ww ni kabila gani" .... He he he inasikitisha aisee
Aah mlinzi alikufanyia interview aisee hii nayo kali
Eti HM wa Boys ni kabila gani mkuu?
Eti Deputy Director na HR ni kabila gani mkuu?Maana ili limenifanya nifuatilie kabisa ili nipate taarifa sahii. Ngoja kesho niwarudishe watoto shule maana vyuma vilikua bado vimekaza...
ELIMU KWANZA
 
Aah mlinzi alikufanyia interview aisee hii nayo kali
Eti HM wa Boys ni kabila gani mkuu?
Eti Deputy Director na HR ni kabila gani mkuu?Maana ili limenifanya nifuatilie kabisa ili nipate taarifa sahii. Ngoja kesho niwarudishe watoto shule maana vyuma vilikua bado vimekaza...
ELIMU KWANZA
Mkuu mie nina mtoto anasoma pale boys na ninawafahamu walimu wengi tu ambao ni makabila mchanganyiko ikiwa ni pamoja na mkuu wa boys ni msukuma Mr. Nyanda siwezi kutetea au kuponda binafsi sijaona hiyo hali ila kiwango cha elimu pale kinaridhisha
 
Huu uzi niliusoma kwa makini na ikabidi nifanye uchunguzi kabisa...Leo hii naomba nilete mrejesho. Ni kweli kabisa hii shule kuna ubaguzi wa wazi wazi ...Asa wanyambo wanawabagua sana wahaya na makabila mengine asa kwenye uongozi na ajira. Mtu akiwa Mhaya ambae tena ametokea mkoa wa Kagera na Mnyambo kutoka Kagera lakini Karagwe basi wa Karagwe Mnyambo ataonekana bora sana.
Alafu mtu anasema eti kuna maadili pale...Duuh nenda ukaulizie kama hakuna watoto ambao wameachishwa shule kidato cha tatu kisa kukutwa mimba ila wahusika mpaka leo wapo pale na hakuna hatua zilizochukuliwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom