Mapolomoko
JF-Expert Member
- Feb 16, 2013
- 1,751
- 417
Inasikitisha na kuhuzunisha sana kuona anae takiwa kuelimisha ndiye anae poteza huyu jamaa anasambaza HIV kwa makusudi. anatembea na watumishi wa ndani hapa wilayani kwa kuwarubuni yeye ni mtu wa Ngara, na hawa dada zetu wengiwao hapa wana toka Ngara