Muongozo wa ufugaji wa nguruwe.

Chakula Kibaya

JF-Expert Member
Joined
Sep 19, 2022
Posts
787
Reaction score
1,729
Habari ya Leo wakubwa,bila shaka mnaendelea salama na majukumu yenu.
Nina mpango wa kuanzisha mradi wa kufuga nguruwe kibiashara na Nina eneo la hekari moja.
Ninaomba kujuzwa mambo yafuatayo;
1.Mbegu nzuri ya nguruwe hasa kwaajili ya kuzaa na nyama.
2.Bei ya kununulia nguruwe wadogo huanzia bei ipi Hadi ipi?
3.Kwa kuanza na nguruwe 15 natakiwa kuwa na kianzio Cha mtaji wa shilingi ngapi Hadi kuja kuanza kuwauza?
4.Changamoto ya ufugaji nguruwe.
5. Tahadhali ninazotakiwa kuwa nazo kabla na wakati wa kuanza ufugaji.
Asanteni
 
Reactions: Nus
Upo mkoa gani
 
Mkuu hongera,shida kuu ya hili la ufugaji wa nguruwe kwa sasa ni ile homa ya nguruwe ambayo kwa kipindi cha mvua huenea kwa kasi sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…