financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,135
- 40,702
Kwahiyo huwa unakua serious na nini mkuu😀Dah
Huwa naonekana niko serious sana na mambo yangu lakini si kweli.
Kwahiyo huwa unakua serious na nini mkuu😀Dah
Huwa naonekana niko serious sana na mambo yangu lakini si kweli.
Wadada nikikutana nao huwa wanaficha simu zao na kuigandamiza mikoba yao makwapani..
Wavuta bangi(wale wasela mavi) wakinikuta nimekaa sehemu wakiroll kitu lazma wanipe nianzishe japo situmiagi...
Nishawahi kuzuiliwa getini na mlinzi hadi nlipopiga simu kwa bosi wake ndo akaruhusu nipite...
Shule nilikua natoroka kwa kupita getini na mlinzi hanizuii, hadi washkaji wakaanza kuhisi natumia dawa...
... Mie mwenyewe nikijiangalia kwenye kioo sometimes huwa nashtuka..
Cha ajabu nishawahi kutongozwa na mademu watatu alafu wazuri tu hadi nikawa najishangaa..
... Mbaya zaidi hata waalimu shule walikua wanaogopa kuniadhibu wanasakiziana..
... Mwonekano wangu ushaninyima vitu vingi sana ila fresh tu si ndo nilivyo acha niishi nao..
... Huwa najifariji na msemo... Sura sio roho 😂😂
.......... Mlevi...
Yani ni mvurugano pande zote za dunia 😂😂hata avatar na ID yako huwa vinampa tabu sana mods akitaka kukupiga ban anaghairi gafla
Ha ha! Ndo usijaribu sitaki kesi na mtu bure..😅Nnavopenda mambo ya mbembelezano basi hapo ushanipatia hahaa
Uhandisi wa kutengeneza vilipuzi. Full kujilipua hao jamaa. Hatari Sana hao wakishajazwa ujinga mjengoni Basi wao wanaenda tu ka nyumbuJaama ana shahada ya uhandisi wanae wote aliosoma nao wako vitengo muhimu Ila yeye Hadi leo hakueleweki.
Ni mtu mwenye uwezo Sana kiakili Ila dini inamlostisha kula shavu .
Unaenda kwenye intavyuu umevaa kanzu,kobazi,ndevu zina rangi nyekundu ,una kipara ,au bharaghashia
Lazima wakuogope dress code tu imekushinda
Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Tuonane tu mkuu! Hilo halina shida lini utakua Sumbawanga mjini?Tuko jirani;na mie hamu yangu ni kukuona....tunafanyaje hapo...
Tareh 1,April mkuu....Ntakua sumbawanga hapo...Tuonane tu mkuu! Hilo halina shida lini utakua Sumbawanga mjini?
Itabd unipe utaratibu mzuri zaidi wa kuonana mkuu...Tuonane tu mkuu! Hilo halina shida lini utakua Sumbawanga mjini?
Muda huu niko kwenye daladala kutoka Tegeta kwenda Mawasiliano na Kondakta kaniruka wakati anadai nauli.
Inawezekana nina sura ya ''tayari nimeshalipa''.
Naunga mkono hoja.
HahahahaKuna jamaa yangu yeye kila akiongea na asiyemjua anaonekana anafoka.
Kama kuandika hujui usiitwe tuAaah ndo maana ASA Maicrofaince Bank wanataka kwenye application latter tuwekee pichaa,ili watusituite kwenye interview wenye suraa za kijambazi
Sent from my TECNO B1p using JamiiForums mobile app
UmetishaNachofaham kujihusu ni kwamba Sivutii kabisaa appearance-wise..
Na nilishajikubali kwenye hilo