Meanwhile magu anahangaika na waganga wa tunguli huko namibia
Meanwhile magu anahangaika na waganga wa tunguli huko namibia
Katuhakikishia washkaji hapa London kwenye kikao chetu cha juzi kuwa kutakuwa nae pia ikiwezekena na waziri kabudi atakuja
nguzo kuu ya ccm ni ushirikinaMeanwhile magu anahangaika na waganga wa tunguli huko namibia
Kwa hiyo atasali humu humu jukwaani? Ha ha ha....ni kwa kuwa wengi humu wasingemuelewa...
Kwani mfadhili wa CCM huwa anapata nini?Ukiwa mwenye kutzama mbali sana utaona kuwa huyu jamaa ni kichwa lkn ukiendelea kutazama zaidi utazalisha maswali meeengi ikiwa ni pamoja na kutaka kujua mfadhili wake kwenye ziara na makelele anayopiga anakuwa na faida mingi kabisa
Mkuu na baada ya kufika tz hapa kanisani kwetu parokia ya tegeta tunaposali nae pia tutamuandalia misa maalumu ya kumshukuru Mungu nadhani intelijensia ya mambonow haitaleta fyokofyoko.Mungu wa uponyaji, Mungu wa mapendo, hakika kakuponya TL. Nenda kamshukuru sana sana sana! Hapo Landon nitakuwa pamoja nanyi on line baada ya kumaliza misa takatifu katika parokia yangu.
Amina baba!Mkuu na baada ya kufika tz hapa kanisani kwetu parokia ya tegeta tunaposali nae pia tutamuandalia misa maalumu ya kumshukuru Mungu nadhani intelijensia ya mambonow haitaleta fyokofyoko.
Hapana, atasali huko huko London, bali wengi humu watakuwa wanafuatilia.Kwa hiyo atasali humu humu jukwaani? Ha ha ha.
umemchangia ngipi?Mfadhili wake mkuu ni watanzania wanaomchangia
Nadhani Balozi wetu Mama Dr AshaRose Migiro atatuwakilisha vyema.