THE COMMISSIONER
JF-Expert Member
- Dec 3, 2012
- 267
- 111
Baada ya kufanya ziara ndefu ya ujenzi wa chama na Baraza la Vijana mikoani kwa takribani wiki tatu, Katibu Mkuu wa BAVICHA Deogratias Munishi leo ataunguruma jimboni Ukonga - Kitunda ambako licha ya kufanya mkutano mkubwa wa hadhara atafanya ufunguzi wa matawi kadhaa ya chama na pia kupokea mabalozi 13 wa nyumba kumi kumi kutoka CCM.
Karibuni wote
Karibuni wote