Fuatilia hii conference utaona kuna vita kubwa sana sanaa inakuja dhidi ya Urusi. Maana wazungu wameona yote yanayoendelea sasa hivi yana mkono wa Mrusi...Kuanzia silaha za Uchina, Silaha za Iran, Silaha za Korea Kaskazini Ushindi wa Syria. Yaani Agenda imekuwa ni Urusi...