Mungu unayemtumikia,ni wewe mwenyewe!

Mungu unayemtumikia,ni wewe mwenyewe!

Elimu ya namna Mwenyezi Mungu alivyomuumba binadamu huwezi kuipata kwenye comment zangu. Kama unataka niDM uniachie namba yako ya simu mie nikutafute nikueleze kwa mapana na marefu kulingana na yeye mwenyewe Mwenyezi Mungu alivyoeleza kwenye kitabu chake kitakatifu cha Qur'an. Hapa hata nkikuambia mfano ni "Mitosis" unaniuliza tena za njano au za kijani?
Nkikuambia za njano utauliza tena za juu au za chini? Yaan ilimradi tubishane tu
Hakuna Mitosis Zenye Rangi Mkuu Mitosis colour Ray wala radiant..
Na Quran naijua Ila haina Mitosis utakachokifanya ni utaelezea Mawazo yako ya elimu uliyopata Plus Utaisaidia Quran kuchambua Mawazo yako
 
Genesis 1:27, wherein "God created man in his own image. . ." This scriptural passage does not mean that God is in human form, but rather, that humans are in the image of God in their moral, spiritual, and intellectual nature.

Binadamu ni part of God and whole universe, but God still exist, we are not gods
 
Back
Top Bottom