LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,219
WanaJF! Usiposiba ufa utajenga ukuta! Ni msemo ulikwisha nenwa kitambo na sasa inajidhihisha nyakati hii wakati Ndg,jamaa na hata marafiki wanavyozidi kutoweka kwa ajali ya barabarani. Basi la Sumry leo limeangukana na kuuwa watu wawili hapo hapo mkoani Mbeya na kujeruhi zaidi ya watu 20. MUNGU tusaidie!