Mungu nisaidie bado nina ndoto za kumuoa Butogwa Shija

tulia wewe
Aman iwe juu yenu wakuu wa jukwaa hili
Kama kichwa cha cha habari kinavyosomeka hapo juu
Nishawahi kuleta uzi hapa nikielezea kwa masikitiko makubwa sana ni kwa namna gani namzimikia butogwa, watu waliniponda sana na kudai kuwa nimepotea njia kwa kuwa demu ana sura ya baba yake ni mbaya sijui hana shep
Niliwashangaa sana walionibeza maana wao wanazani kila aliye mbaya kwao basi pia atakuwa mubaya kwa wengine,
Mimi kwangu butogwa ni wife material ni mwanamke aliye kamilika kuanzia sura, umbo urefu hadi akili
Kuna watu watasema kuwa yule dada ni msomi hivyo sitaweza lakin mimi nitawacheka kisukuma hiiiiiiii afu nitarudi kwenye mandiko ya kitabu kimoja kitakatifu cha bible ambacho kimesema ishini na wanawake kwa akili tu, kwa msitari huo wa biblia inamanisha kuwa mwanamke akikuzid urefu siyo mbaya pia mwanamke akikuzidi rangi siyo mbaya pia mwanamke akikuzidi kipato siyo mbaya ila kibaya tu asikuzidi akili na pia kibaya zaid ni kuwa malio hicho ndo kibaya
Mimi bado sijachoka kukupenda wewe butogwa shija mimi nakupenda sana tena upendo kutoka moyoni kabisa
Nakuhitaji sana wewe dada
Ni bora nipigwe mawe lakin si kukosa upendo wako
Ni ukweli usio na shaka ya kwamba mimi hunijui wala hujawahi kuniona lakin mimi nakupenda sana, naomba ujue hilo na kama itakupendeza bas unijue pia
Butogwa wewe ndo mwanamke ambaye niko tiar nikose chakula lakini siyo kukukosa wewe, ndo maana ninamuomba Mungu mwenyezi afanikishe katika hili
Mimi ni kijana mwenzako wa kisukuma
Nakuzimikia sana butogwa
Kwa wasiojua maana ya butogwa, BUTOGWA ni jina la kisukuma likiwa na maana ya UPENDO AU PENDO
Naomba dunia nzima inisaidie kufukikisha ujumbe huu kwa mhusika naomba hata media au blog zinisaidie sana
Naomba dunia nzima ijue kuwa nampenda huyu dada
Asanteni sana
Nawasilisha
View attachment 1193725View attachment 1193726View attachment 1193727
 
Aman iwe juu yenu wakuu wa jukwaa hili

Kama kichwa cha cha habari kinavyosomeka hapo juu

Nishawahi kuleta uzi hapa nikielezea kwa masikitiko makubwa sana ni kwa namna gani namzimikia butogwa, watu waliniponda sana na kudai kuwa nimepotea njia kwa kuwa demu ana sura ya baba yake ni mbaya sijui hana shep

Niliwashangaa sana walionibeza maana wao wanazani kila aliye mbaya kwao basi pia atakuwa mubaya kwa wengine,

Mimi kwangu butogwa ni wife material ni mwanamke aliye kamilika kuanzia sura, umbo urefu hadi akili

Kuna watu watasema kuwa yule dada ni msomi hivyo sitaweza lakin mimi nitawacheka kisukuma hiiiiiiii afu nitarudi kwenye mandiko ya kitabu kimoja kitakatifu cha bible ambacho kimesema ishini na wanawake kwa akili tu, kwa msitari huo wa biblia inamanisha kuwa mwanamke akikuzid urefu siyo mbaya pia mwanamke akikuzidi rangi siyo mbaya pia mwanamke akikuzidi kipato siyo mbaya ila kibaya tu asikuzidi akili na pia kibaya zaid ni kuwa malio hicho ndo kibaya


Mimi bado sijachoka kukupenda wewe butogwa shija mimi nakupenda sana tena upendo kutoka moyoni kabisa

Nakuhitaji sana wewe dada

Ni bora nipigwe mawe lakin si kukosa upendo wako

Ni ukweli usio na shaka ya kwamba mimi hunijui wala hujawahi kuniona lakin mimi nakupenda sana, naomba ujue hilo na kama itakupendeza bas unijue pia


Butogwa wewe ndo mwanamke ambaye niko tiar nikose chakula lakini siyo kukukosa wewe, ndo maana ninamuomba Mungu mwenyezi afanikishe katika hili

Mimi ni kijana mwenzako wa kisukuma

Nakuzimikia sana butogwa

Kwa wasiojua maana ya butogwa, BUTOGWA ni jina la kisukuma likiwa na maana ya UPENDO AU PENDO


Naomba dunia nzima inisaidie kufukikisha ujumbe huu kwa mhusika naomba hata media au blog zinisaidie sana

Naomba dunia nzima ijue kuwa nampenda huyu dada


Asanteni sana

Nawasilisha



View attachment 1193725View attachment 1193726View attachment 1193727
Ulishawah kuwa kwenye mahusiana ya kimapenzi na wanawake wangapi hadi sasa na umri wako ni ni miaka mingapi dogo?

Ukijibu Then nitakushauri kitu kizuri sana.
 
Ulishawah kuwa kwenye mahusiana ya kimapenzi na wanawake wangapi hadi sasa na umri wako ni ni miaka mingapi dogo?

Ukijibu Then nitakushauri kitu kizuri sana.
Mimi kwa sasa nina miaka 25

Mpaka sasa nishawahi kuwa na wasichana watatu
Mmoja nikiwa primary na mwingine wa pili secondary na watu baada ya kumaliza shule ni hao tu mkuu
 
Mimi kwa sasa nina miaka 25

Mpaka sasa nishawahi kuwa na wasichana watatu
Mmoja nikiwa primary na mwingine wa pili secondary na watu baada ya kumaliza shule ni hao tu mkuu
OK sawa ngoja nikwambie kitu Kama dogo langu la kiume.
#mwanamke aliliwi hadharani hivyo unajua kwann wengine hawapendi publicity unaweza kumpoteza moja kwa moja na hakakuona mshambaa sana.

#Hata Kama anapenda unajua akiwa na wewe kitatokea nn..!
atakuwa anakupeleka kishezi maana anajua umedata kwake siyo yeye aliyedata in short mwanamke usimuoneshe direct kuwa umekufa kuoza kuwa mgumu (ugumu wa kiumee).
#mwanmke abembelezwi kupitiliza anawindwa kimya kimya mnamaliza huko kikibuma unamuweka kipolo unaendelea mbele.

#kwa huo umri na mahusiano uliyopitia ongeza juhudi Sana unajua experience make perfect Ongeza juhudi za kutongoza acha kulialia..

#Acha kuangalia movie Za kikorea na philipino hizo aziwi practical kwa mademu wa bongo.

#mwisho mchawi pesa tafuta pesa ndio mchawi wa kila kitu..
 
Aman iwe juu yenu wakuu wa jukwaa hili

Kama kichwa cha cha habari kinavyosomeka hapo juu

Nishawahi kuleta uzi hapa nikielezea kwa masikitiko makubwa sana ni kwa namna gani namzimikia butogwa, watu waliniponda sana na kudai kuwa nimepotea njia kwa kuwa demu ana sura ya baba yake ni mbaya sijui hana shep

Niliwashangaa sana walionibeza maana wao wanazani kila aliye mbaya kwao basi pia atakuwa mubaya kwa wengine,

Mimi kwangu butogwa ni wife material ni mwanamke aliye kamilika kuanzia sura, umbo urefu hadi akili

Kuna watu watasema kuwa yule dada ni msomi hivyo sitaweza lakin mimi nitawacheka kisukuma hiiiiiiii afu nitarudi kwenye mandiko ya kitabu kimoja kitakatifu cha bible ambacho kimesema ishini na wanawake kwa akili tu, kwa msitari huo wa biblia inamanisha kuwa mwanamke akikuzid urefu siyo mbaya pia mwanamke akikuzidi rangi siyo mbaya pia mwanamke akikuzidi kipato siyo mbaya ila kibaya tu asikuzidi akili na pia kibaya zaid ni kuwa malio hicho ndo kibaya


Mimi bado sijachoka kukupenda wewe butogwa shija mimi nakupenda sana tena upendo kutoka moyoni kabisa

Nakuhitaji sana wewe dada

Ni bora nipigwe mawe lakin si kukosa upendo wako

Ni ukweli usio na shaka ya kwamba mimi hunijui wala hujawahi kuniona lakin mimi nakupenda sana, naomba ujue hilo na kama itakupendeza bas unijue pia


Butogwa wewe ndo mwanamke ambaye niko tiar nikose chakula lakini siyo kukukosa wewe, ndo maana ninamuomba Mungu mwenyezi afanikishe katika hili

Mimi ni kijana mwenzako wa kisukuma

Nakuzimikia sana butogwa

Kwa wasiojua maana ya butogwa, BUTOGWA ni jina la kisukuma likiwa na maana ya UPENDO AU PENDO


Naomba dunia nzima inisaidie kufukikisha ujumbe huu kwa mhusika naomba hata media au blog zinisaidie sana

Naomba dunia nzima ijue kuwa nampenda huyu dada


Asanteni sana

Nawasilisha



View attachment 1193725View attachment 1193726View attachment 1193727
Mungu akusaidie umpate butogwa wako
 
Aman iwe juu yenu wakuu wa jukwaa hili

Kama kichwa cha cha habari kinavyosomeka hapo juu

Nishawahi kuleta uzi hapa nikielezea kwa masikitiko makubwa sana ni kwa namna gani namzimikia butogwa, watu waliniponda sana na kudai kuwa nimepotea njia kwa kuwa demu ana sura ya baba yake ni mbaya sijui hana shep

Niliwashangaa sana walionibeza maana wao wanazani kila aliye mbaya kwao basi pia atakuwa mubaya kwa wengine,

Mimi kwangu butogwa ni wife material ni mwanamke aliye kamilika kuanzia sura, umbo urefu hadi akili

Kuna watu watasema kuwa yule dada ni msomi hivyo sitaweza lakin mimi nitawacheka kisukuma hiiiiiiii afu nitarudi kwenye mandiko ya kitabu kimoja kitakatifu cha bible ambacho kimesema ishini na wanawake kwa akili tu, kwa msitari huo wa biblia inamanisha kuwa mwanamke akikuzid urefu siyo mbaya pia mwanamke akikuzidi rangi siyo mbaya pia mwanamke akikuzidi kipato siyo mbaya ila kibaya tu asikuzidi akili na pia kibaya zaid ni kuwa malio hicho ndo kibaya


Mimi bado sijachoka kukupenda wewe butogwa shija mimi nakupenda sana tena upendo kutoka moyoni kabisa

Nakuhitaji sana wewe dada

Ni bora nipigwe mawe lakin si kukosa upendo wako

Ni ukweli usio na shaka ya kwamba mimi hunijui wala hujawahi kuniona lakin mimi nakupenda sana, naomba ujue hilo na kama itakupendeza bas unijue pia


Butogwa wewe ndo mwanamke ambaye niko tiar nikose chakula lakini siyo kukukosa wewe, ndo maana ninamuomba Mungu mwenyezi afanikishe katika hili

Mimi ni kijana mwenzako wa kisukuma

Nakuzimikia sana butogwa

Kwa wasiojua maana ya butogwa, BUTOGWA ni jina la kisukuma likiwa na maana ya UPENDO AU PENDO


Naomba dunia nzima inisaidie kufukikisha ujumbe huu kwa mhusika naomba hata media au blog zinisaidie sana

Naomba dunia nzima ijue kuwa nampenda huyu dada


Asanteni sana

Nawasilisha



View attachment 1193725View attachment 1193726View attachment 1193727
Acha tamaa najua huyo mtoto kweli ni wife material una haki lakini na moderator Farida vip? https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1569976/
 
Back
Top Bottom