Mungu mkubwa, leo nasafiri na wanamapinduzi

JEKI

JF-Expert Member
Aug 16, 2013
4,845
2,941
Watu wengi tuna hamu kubwa sana ya kuwa karibu na wanamapinduzi. Nani asiyetamani kushikana japo mkono na watu kama Fidel Castro? au mtu kama Martin Luther au hapa kwetu mtu kama Nyerere au Sokoine?

Kiukweli mimi ni mmoja kati ya watu wanaopenda kuwa karibu na wanamapinduzi wanaopambana na dhuruma hasa kwa wanyonge. Huwezi amini leo nitapata fursa ya kusafiri na Prof Baregu, Kabudi na Polepole, japo nimewasalimia kwa uoga sana.

Wanaelekea Mwanza na fastjet ya saa 9 kasoro. Nipongezeni wandugu.
 
Hapa tumejua zaidi ya ulivyotaka tujue.
1.Umepanda ndege kwa mara ya kwanza.
2.Umeenda safari Mwanza.
3.Wewe ni mwanaukawa mtiifu.
 
Watu wengi tuna hamu kubwa sana ya kuwa karibu na wanamapinduzi. Nani asiyetamani kushikana japo mkono na watu kama Fidel Castro? au mtu kama Martin Luther au hapa kwetu mtu kama Nyerere au Sokoine? Kiukweli mimi ni mmoja kati ya watu wanaopenda kuwa karibu na wanamapinduzi wanaopambana na dhuruma hasa kwa wanyonge. Huwezi amini leo nitapata fursa ya kusafiri na Prof Baregu, Kabudi na Polepole, japo nimewasalimia kwa uoga sana. Wanaelekea mwanza na fastjet ya saa 9 kasoro. Nipongezeni wandugu.

Una bahati sana !
 
Una bahati sana !

Bahati gani kusalimiana nao? Kwani baada ya kusalimiana nao kuna hela imeingia kwenye akaunti yake au kwenye Tigopesa,Mpesa au Airtel money?

Ni ulimbukeni tu au ni mara yake ya kwanza kupanda ndege? Fastjet kapata zole tiketi za offer za elfu 35,000 nini?
 
Hivi Pole pole na Baregu ni wanamapinduzi????

Hapa JF watoto mko wengi kweli. Hii ni aibu!!
 
Back
Top Bottom