Mungu huwa anasingiziwa mengi

Mungu huwa anasingiziwa mengi

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
13,553
Reaction score
57,843
Niwaambie Mungu hakuna kitu anapanga hapa duniani

Mungu hapangi watawala wa kisiasa Wala kidini.

Dini zote nimeletwa na wanadamu na zinawatumikia wanadamu.

Nawaambia hata vifo vyote vinatokana tu na binadamu.

Mnamsubiri Mungu endeleeni lakini nnawaambia.

Duniania Ni shetani makini na wachawi ndio wanaendesha kila kitu.

Tusimusingizie Mungu wala tusimwachie Mungu maana Mungu hayupo kumtetea mtu yeyote hapa duniani.

Mtu atatetewa na mtu mwenzie na atateswa na mtu mwenzie.
 
27 bali Mungu aliyachagua mambo mapumbavu ya dunia awaaibishe wenye hekima; tena Mungu alivichagua vitu dhaifu vya dunia ili aviaibishe vyenye nguvu;

28 tena Mungu alivichagua vitu vinyonge vya dunia na vilivyodharauliwa, naam, vitu ambavyo haviko, ili avibatilishe vile vilivyoko;

29 mwenye mwili awaye yote asije akajisifu mbele za Mungu.

1 Wakorinto 1:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom