Mungu hayupo, usibishe

Mungu hayupo, usibishe

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
11,164
Reaction score
22,746
Kuna watu huwa wanataka kujipambanua kuwa ni waumini wa dhana hii ya MUNGU HAYUPO.

Lakini kinachosikitisha upeo wao mdogo sana. Yaani waliamua kudandia hoja ambayo hawana uwezo nayo. Kifalsafa ni wepesi na weupe sana.

Utamsikia anasema tu "THIBITISHA KUWA MUNGU YUPO" Hana hoja nyingine ya mashiko. Zaidi ya hii ambayo ipo miaka na miaka na wala si ya kifalsafa. Kisayansi kuna gragitational force. Nani anaiona zaidi ya kuona matokeo yake?

Kuna upepo ambao hatuuoni lakini nani anaweza sema haupo? Ni upumbavu tu kuwa na hoja nyepesi kuwa THIBITISHA KAMA MUNGU YUPO.

Mimi najisikia njaa. Wewe ukiniambia nithibitishe kama nasikia njaa kwa kukuonesha utaionaje? Au nikisema najisikia kufanya tendo la ndoa nahitaji mtu awe kama mke wangu utasema nikuthibitishie nina hiyo hamu, je upo tayari kuchukua nafasi ya mtu anayepaswa kuwa mke wangu?

Huwa naona kuna watu wanadandia tu hoja na kutaka wawe na Identity flani humu ndani wakiwa hata uelewa nazo hawana. Mtu anaandika unamwona tu huyu mbona mweupe sana kichwani hajui hata anachoongea kadandia hoja. Hajui kujenga hoja. Hana jipya.
 
Mungu yupo, tena ni hai usilete hoja ya kupinga uwepo wa Mungu. Mawazo ya Mungu ni makubwa si kama ya binadamu. Hebu kwanza sikiliza viongozi wakiapa Mungu awasaidie katika kutekeleza mambo ya serikali, anza na tukio la kuwashwa mwenge wa uhuru na kuanza mbio zake kitaifa huko mkoani Pwani, wanaapa kwa Mungu awasaidie. Kwa hiyo Mungu yupo na serikali inajua na kutambua uwepo wa Mungu
 
We umejuaje sasa.Ni sawa kuita mtu mwizi wakati umeibiwa.
 
Mungu mwenye nguvu anayetajwa kwenye biblia na Quran ni hayupo

Kama ameshindwa kumuua Shetani nitasemaje ana nguvu ?

Shetani tunaambiwa na hao viongozi wako wa dini amesababisha maasi makubwa sana duniani ila ameshindwa kumuua au kumuondoa duniani!

Kama serikali tu za binadamu ukifanya makosa unaishia jela huyo mungu wenu anaejiita kuwa na maguvu mbona anashindwa kumdhibi Shetani ambae Kila siku anasababisha madhira makubwa Kwa Binadamu?

Mbona hakumuondoa Idd Amin Dada Hadi nyerere mwenyewe aliamua kumuondoa

Kama huyo mungu mwenye maguvu ameshindwa kumuondoa duniani Shetani wakati kamuumba yeye sisi binadamu tunaweza vipi kukabuliana na Shetani ?

Mungu ni powerless na fiction za juma na uledi
 
Kuna watu huwa wanataka kujipambanua kuwa ni waumini wa dhana hii ya MUNGU HAYUPO.

Lakini kinachosikitisha upeo wao mdogo sana. Yaani waliamua kudandia hoja ambayo hawana uwezo nayo. Kifalsafa ni wepesi na weupe sana.

Utamsikia anasema tu "THIBITISHA KUWA MUNGU YUPO" Hana hoja nyingine ya mashiko. Zaidi ya hii ambayo ipo miaka na miaka na wala si ya kifalsafa. Kisayansi kuna gragitational force. Nani anaiona zaidi ya kuona matokeo yake?

Kuna upepo ambao hatuuoni lakini nani anaweza sema haupo? Ni upumbavu tu kuwa na hoja nyepesi kuwa THIBITISHA KAMA MUNGU YUPO.

Mimi najisikia njaa. Wewe ukiniambia nithibitishe kama nasikia njaa kwa kukuonesha utaionaje? Au nikisema najisikia kufanya tendo la ndoa nahitaji mtu awe kama mke wangu utasema nikuthibitishie nina hiyo hamu, je upo tayari kuchukua nafasi ya mtu anayepaswa kuwa mke wangu?

Huwa naona kuna watu wanadandia tu hoja na kutaka wawe na Identity flani humu ndani wakiwa hata uelewa nazo hawana. Mtu anaandika unamwona tu huyu mbona mweupe sana kichwani hajui hata anachoongea kadandia hoja. Hajui kujenga hoja. Hana jipya.
Shida una mfuniko wa shingo badala ya kichwa

Kama mimi nina mtu uliye naye ana njaa na wewe hujui kama yeye ana njaa

Kama mtu anakupenda na wewe huwezi kuthibitisha

Wewe una ugonjwa ila hujui ugonjwa gani, umesababishwa na parasite gani? nk


Hii inamaanisha upeo wako ni mdogo hivyo hauna uwezo wa kujadili habari za Mungu ambaye hana mwanzo wala mwisho

Wewe ni mdhaifu, kiumbe ambaye usipokunya wiki tu unalialia kwa madaktari unatafuta tiba
 
Kuna watu huwa wanataka kujipambanua kuwa ni waumini wa dhana hii ya MUNGU HAYUPO.

Lakini kinachosikitisha upeo wao mdogo sana. Yaani waliamua kudandia hoja ambayo hawana uwezo nayo. Kifalsafa ni wepesi na weupe sana.

Utamsikia anasema tu "THIBITISHA KUWA MUNGU YUPO" Hana hoja nyingine ya mashiko. Zaidi ya hii ambayo ipo miaka na miaka na wala si ya kifalsafa. Kisayansi kuna gragitational force. Nani anaiona zaidi ya kuona matokeo yake?

Kuna upepo ambao hatuuoni lakini nani anaweza sema haupo? Ni upumbavu tu kuwa na hoja nyepesi kuwa THIBITISHA KAMA MUNGU YUPO.

Mimi najisikia njaa. Wewe ukiniambia nithibitishe kama nasikia njaa kwa kukuonesha utaionaje? Au nikisema najisikia kufanya tendo la ndoa nahitaji mtu awe kama mke wangu utasema nikuthibitishie nina hiyo hamu, je upo tayari kuchukua nafasi ya mtu anayepaswa kuwa mke wangu?

Huwa naona kuna watu wanadandia tu hoja na kutaka wawe na Identity flani humu ndani wakiwa hata uelewa nazo hawana. Mtu anaandika unamwona tu huyu mbona mweupe sana kichwani hajui hata anachoongea kadandia hoja. Hajui kujenga hoja. Hana jipya.
Wewe mwenyewe mweupe huna hoja ya maana kabisa. Kwahiyo mtu asipouona upepo ndio uthibitisho wa Mungu? yaani umeshindwa kuthibitisha uwepo wa Mungu hadi unakuja na vioja badala ya hoja🤣🤣🤣🤣🤣. Hata tunaoamini Mungu yupo tunakushangaa. Kajipange bana unatuaibisha.
 
Mashoga wengi ndio wanaopinga kuwa hakuna Mungu,.
Mpumbavu husema moyoni mwake kuwa. Hakuna Mungu.
 
Ukisikia mtu anasema Mungu hayupo usimdharau, msikilize hoja zake na umjibu, acha kuleta hoja za hasira. Hata kwenye Biblia pameandikwa, "WAPUMBAVU HUSEMA HAKUNA MUNGU" Kwa hiyo habari ya kusema hakuna Mungu ipo toka hata Yesu hajazaliwa. Jibu hoja acha hasira za kipumbavu.
 
Kuna watu huwa wanataka kujipambanua kuwa ni waumini wa dhana hii ya MUNGU HAYUPO.

Lakini kinachosikitisha upeo wao mdogo sana. Yaani waliamua kudandia hoja ambayo hawana uwezo nayo. Kifalsafa ni wepesi na weupe sana.

Utamsikia anasema tu "THIBITISHA KUWA MUNGU YUPO" Hana hoja nyingine ya mashiko. Zaidi ya hii ambayo ipo miaka na miaka na wala si ya kifalsafa. Kisayansi kuna gragitational force. Nani anaiona zaidi ya kuona matokeo yake?

Kuna upepo ambao hatuuoni lakini nani anaweza sema haupo? Ni upumbavu tu kuwa na hoja nyepesi kuwa THIBITISHA KAMA MUNGU YUPO.

Mimi najisikia njaa. Wewe ukiniambia nithibitishe kama nasikia njaa kwa kukuonesha utaionaje? Au nikisema najisikia kufanya tendo la ndoa nahitaji mtu awe kama mke wangu utasema nikuthibitishie nina hiyo hamu, je upo tayari kuchukua nafasi ya mtu anayepaswa kuwa mke wangu?

Huwa naona kuna watu wanadandia tu hoja na kutaka wawe na Identity flani humu ndani wakiwa hata uelewa nazo hawana. Mtu anaandika unamwona tu huyu mbona mweupe sana kichwani hajui hata anachoongea kadandia hoja. Hajui kujenga hoja. Hana jipya.

Sio kosa lako
 
Ukisikia mtu anasema Mungu hayupo usimdharau, msikilize hoja zake na umjibu, acha kuleta hoja za hasira. Hata kwenye Biblia pameandikwa, "WAPUMBAVU HUSEMA HAKUNA MUNGU" Kwa hiyo habari ya kusema hakuna Mungu ipo toka hata Yesu hajazaliwa. Jibu hoja acha hasira za kipumbavu.
Sahihi kabisa
 
Kuna watu huwa wanataka kujipambanua kuwa ni waumini wa dhana hii ya MUNGU HAYUPO. Lakini kinachosikitisha upeo wao mdogo sana. Yaani waliamua kudandia hoja ambayo hawana uwezo nayo. Kifalsafa ni wepesi na weupe sana.

1744278952690.png


Ndugu KOmeo la Chuma,

Acha porojo. Kuna njia tatu za kuthibitisha mtazamo. Kurudia rudia jambo mara nyingi ili watu wachoke na kuamini kwamba huenda ni kweli. Kulisema jambo kwa sauti kubwa ya kutisha ili watu wakubali kwa sababu ya hofu. Na kuongea kwa upoke na kuwasilisha ushahidi mezani. Njia ya tatu ndio wanatumia wanafalsafa na wanasayansi.

Hivyo, kama wenzako "waliamua kudandia hoja ambayo hawana uwezo nayo" na "kifalsafa ni wepesi na weupe sana" wewe unapaswa kuthibitisha mtazamo wako kwa ushahidi. Unapaswa kuleta hoja (affirmative argument) uliyo nayo ili kuwanyamazisha. Acha kupayuka. Achana na matusi.

Na tayari hoja zipo, sema tu wewe unatapatapa. Mfano, kuna hoja kamili za mjadala huu na rejea zake mahali hapa : Atheists, leo mtajua hamjui. Jibuni haya maswali—mkishindwa, msilete tena hapa nyuzi za kuhoji uwepo wa Mungu. Tazama mchango na. 3.

Usuli wa bandiko hili unasomeka hivi:

A. ABSTRACT

"Unike other great religions, Christianity has never proposed a revealed law to the state and to society, that is to say, a juridical order derived from revelation. Instead, it has (always) pointed to (human) nature, and reason as the true source of a positive law, and to the harmony of objective and subjective reason , which naturally presupposes that, both spheres are rooted in the creative reason of God,"--Speech by Pope Benedict XVI, During His Visit to Germany in 2011.

This contribution summarizes the arguments for and against the claim that a Theistic God Exists in the extra-mental world.

Rational theistic arguments in support are identified and organized syllogistically.

Then, rational atheistic arguments in opposition are identified and organized syllogistically.

Next, a synthesis is made, with a conclusion that neither side provides conclusive arguments.

It is further observed that debates about the validity of God Hypothesis have been with us for more than 5,000 years now and may continue unconcluded until the end of the world.

As a result, pace atheistic agnosticism, agnostic secularism, which acknowledges the existence of freedom of worship and recognizes the rights of religious leaders to participate in party politics as individuals, is defined in terms of a wall of separation between state and religions, is proposed so as to achieve two goals.

One, to prevent the practice of doing party politics through the instrumentality of sectarian religions, hence violating the principle of national unity.

And two, banning the practice of doing religion through the instrumentality of state established institutions, hence violating the principle of inter-religious equality.

Thus, secularism is proposed as a feasible state policy option in so far as religions-and-state relations are concerned.

Generally, this contribution is organized into the following condensed outline:

  • I. Abstract,
  • II. Introduction,
  • III. Grounds for the god hypothesis: Rational theistic arguments,
  • IV. Grounds for the no-god hypothesis: Rational atheistic arguments,
  • V. State policy implications: Possible religion-state relation models, and
  • VI. References.
Specifically, the expanded version of this content outline is as follows:

I. ABSTRACT

II. INTRODUCTION

  1. Conceptual Framework
  2. Problem re-statement
  3. Relevance of debating the God Hypothesis
  4. Methodology and parameters of the problem
  5. Content organization
III. GROUNDS FOR THE GOD HYPOTHESIS: RATIONAL THEISTIC ARGUMENTS
  1. Argument from the Origin of the Universe (cosmological argument);
  2. Argument from objective morality;
  3. Argument from fine-tuning of the universe for life(teleological argument);
  4. Argument from consciousness;
  5. Argument from miracles;
  6. Argument from intelligent design
  7. Argument from contingency.
  8. Argument from the origin of life.
  9. Argument from natural laws
  10. Argument from rationality
  11. Argument from ignorance
  12. Argument from the fundamental laws of logic
IV. NATURALISTIC OBJECTIONS: RATIONAL ATHEISTIC ARGUMENTS
  1. Argument from evil
  2. Argument from the Impossibility of Divine Action
  3. Argument from Ignorance
  4. Argument from abstract entities
  5. Argument from the missing divine spatio-temporal address
  6. Argument from Perfection-Creation Incompatibility
  7. Argument from Immutability-Creation Incompatibility
  8. Argument from Immutability-Omniscience Incompatibility
  9. Argument from Immutability-All-Lovingness Incompatibility
  10. Argument from Transcendence-Omnipresence Incompatibility
  11. Argument from Transcendence-Personhood Incompatibility
  12. Argument from Omnipresence-Personhood Incompatibility
  13. Argument from Omniscience-Freedom Incompatibility
  14. Argument from Justice-Mercy Incompatibility
  15. Argument from the incompatibility between justice and Eden story
  16. Argument from the incompatibility between disembodiment and Decalogue authorship story
  17. Argument from the incompatibility between holiness and objective moral truths
  18. Argument from the incompatibility between orderly design and miracles
  19. Argument from incompatibility between Eternal Reward and Punishment teaching and justice
  20. Argument from the paradox of alternative worlds
  21. Argument from incompatibility between omniscience and divine agency
  22. Argument from the incompatibility between omnipotent, perfection and divine agency
V. THEISTIC REBUTTALS TO NATURALISTIC OBJECTIONS

VI. STATE POLICY INDLICATIONS: POSSIBLE RELIGION-STATE RELATION MODELS

  1. Official state religion model
  2. Selective religion-state cooperation model
  3. The religion-state separation model
  4. Religion in constitution-making processes
  5. Religion and political parties
  6. Religion and human rights
  7. Constitutions and religion in Africa
  8. Stock-taking on religions-state cooperation models: A case for secularism
 
Mpumbavu hudhani Mungu yupo kisa tu amekaririshwa stori za kubuni toka kwenye vitabu vya wazungu na copy yake ya waarabu.

Huhitaji kuwa genius kujua kwamba story za nyoka kuongea, mtu kupasua bahari kwa fimbo au mmtu mmoja kuunda meli kubwa ya kubeba viumbe vyote kwa pair ni fiction tu.

Kwanini unaamini ujinga kama mtoto?
 
Mungu yupo, na ushahidi ni hii pumzi yake ya uhai tunayovuta, kama hutaki, kaa na upumbavu wako mpaka siku unakata pumzi ndio utamjua unaemrudishia pumzi na uhai ni nani!
 
Shida una mfuniko wa shingo badala ya kichwa

Kama mimi nina mtu uliye naye ana njaa na wewe hujui kama yeye ana njaa

Kama mtu anakupenda na wewe huwezi kuthibitisha

Wewe una ugonjwa ila hujui ugonjwa gani, umesababishwa na parasite gani? nk


Hii inamaanisha upeo wako ni mdogo hivyo hauna uwezo wa kujadili habari za Mungu ambaye hana mwanzo wala mwisho

Wewe ni mdhaifu, kiumbe ambaye usipokunya wiki tu unalialia kwa madaktari unatafuta tiba
Bangi za kuvutia kwenye tundu la choo cha shimo ni mbaya. Maana hata hujijui unaandika nini.😁
 
Back
Top Bottom