Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 11,164
- 22,746
Kuna watu huwa wanataka kujipambanua kuwa ni waumini wa dhana hii ya MUNGU HAYUPO.
Lakini kinachosikitisha upeo wao mdogo sana. Yaani waliamua kudandia hoja ambayo hawana uwezo nayo. Kifalsafa ni wepesi na weupe sana.
Utamsikia anasema tu "THIBITISHA KUWA MUNGU YUPO" Hana hoja nyingine ya mashiko. Zaidi ya hii ambayo ipo miaka na miaka na wala si ya kifalsafa. Kisayansi kuna gragitational force. Nani anaiona zaidi ya kuona matokeo yake?
Kuna upepo ambao hatuuoni lakini nani anaweza sema haupo? Ni upumbavu tu kuwa na hoja nyepesi kuwa THIBITISHA KAMA MUNGU YUPO.
Mimi najisikia njaa. Wewe ukiniambia nithibitishe kama nasikia njaa kwa kukuonesha utaionaje? Au nikisema najisikia kufanya tendo la ndoa nahitaji mtu awe kama mke wangu utasema nikuthibitishie nina hiyo hamu, je upo tayari kuchukua nafasi ya mtu anayepaswa kuwa mke wangu?
Huwa naona kuna watu wanadandia tu hoja na kutaka wawe na Identity flani humu ndani wakiwa hata uelewa nazo hawana. Mtu anaandika unamwona tu huyu mbona mweupe sana kichwani hajui hata anachoongea kadandia hoja. Hajui kujenga hoja. Hana jipya.
Lakini kinachosikitisha upeo wao mdogo sana. Yaani waliamua kudandia hoja ambayo hawana uwezo nayo. Kifalsafa ni wepesi na weupe sana.
Utamsikia anasema tu "THIBITISHA KUWA MUNGU YUPO" Hana hoja nyingine ya mashiko. Zaidi ya hii ambayo ipo miaka na miaka na wala si ya kifalsafa. Kisayansi kuna gragitational force. Nani anaiona zaidi ya kuona matokeo yake?
Kuna upepo ambao hatuuoni lakini nani anaweza sema haupo? Ni upumbavu tu kuwa na hoja nyepesi kuwa THIBITISHA KAMA MUNGU YUPO.
Mimi najisikia njaa. Wewe ukiniambia nithibitishe kama nasikia njaa kwa kukuonesha utaionaje? Au nikisema najisikia kufanya tendo la ndoa nahitaji mtu awe kama mke wangu utasema nikuthibitishie nina hiyo hamu, je upo tayari kuchukua nafasi ya mtu anayepaswa kuwa mke wangu?
Huwa naona kuna watu wanadandia tu hoja na kutaka wawe na Identity flani humu ndani wakiwa hata uelewa nazo hawana. Mtu anaandika unamwona tu huyu mbona mweupe sana kichwani hajui hata anachoongea kadandia hoja. Hajui kujenga hoja. Hana jipya.