Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 119,494
- 222,861
Haya mambo ya uongo wanaokulipa walishindwa kutujibu ndio uwe wewe mtumwa wao ?Kikulacho
Haya mambo ya uongo wanaokulipa walishindwa kutujibu ndio uwe wewe mtumwa wao ?Kikulacho
AmenWale wote waliohusika katika kadhia hii Mungu azidi kuwaumbua mchana kweupe.Moto wa Jehanamu ukazidi kuwachoma na kuwaunguza nafsi na mwili wote tuseme ameni.
Naona imekushtua!Haya mambo ya uongo wanaokulipa walishindwa kutujibu ndio uwe wewe mtumwa wao ?
Thubutuuuuuuuuuuuuu,Tundu Lissu atakuja kuwa rais wa nchi hii siku moja save hii kwenye kumbukumbu yako.
Ulaya kutamu nani anapenda kula vumbi,Hivi ni kitu gani kinachasababisha wasirudi Tanzania mpaka leo?
Kama ni usalama waliokuwa wanaulilia kila siku walishahakikishiwa, wakakubali kurudi, ajabu mpaka leo kimya...
Waliondoka na familia zao sasa warudi kufanya nini?Hivi ni kitu gani kinachasababisha wasirudi Tanzania mpaka leo?
Kama ni usalama waliokuwa wanaulilia kila siku walishahakikishiwa, wakakubali kurudi, ajabu mpaka leo kimya...
Kwani kuna waliobaki zaidi ya Makonda..kta?Sasa ni dhahiri kwamba serikali ya Tanzania inawaficha waliomshambulia Lissu Dodoma September 7/9/2017 , hii haina Ubishi .
Bali tunawahakikishia Wapenda haki wote Duniani kwamba WOTE WALIOHUSIKA NA SHAMBULIO LA KISHAMBA DHIDI YA UHAI WA TUNDU LISSU WATAKAMATWA NA MUNGU NA WATAPUKUTISHWA KAMA VUMBI LA MKAA WAKATI WA KIMBUNGA
Ondoeni Shaka , KILA UBAYA UTALIPWA
njama ilipangwa na watu 100 waliopukutishwa na Mungu ni 20 tuKwani kuna waliobaki zaidi ya Makonda..kta?
Sahau mbowe akamatwi kwa sababu kwa sasa kapewa sega la asali yeye na mama kazi yao ni moja tu kupambana na MarehemuSasa ni dhahiri kwamba serikali ya Tanzania inawaficha waliomshambulia Lissu Dodoma September 7/9/2017 , hii haina Ubishi .
Bali tunawahakikishia Wapenda haki wote Duniani kwamba WOTE WALIOHUSIKA NA SHAMBULIO LA KISHAMBA DHIDI YA UHAI WA TUNDU LISSU WATAKAMATWA NA MUNGU NA WATAPUKUTISHWA KAMA VUMBI LA MKAA WAKATI WA KIMBUNGA
Ondoeni Shaka , KILA UBAYA UTALIPWA
Karma is bitch..! Kama haibaguiSasa ni dhahiri kwamba serikali ya Tanzania inawaficha waliomshambulia Lissu Dodoma September 7/9/2017 , hii haina Ubishi .
Bali tunawahakikishia Wapenda haki wote Duniani kwamba WOTE WALIOHUSIKA NA SHAMBULIO LA KISHAMBA DHIDI YA UHAI WA TUNDU LISSU WATAKAMATWA NA MUNGU NA WATAPUKUTISHWA KAMA VUMBI LA MKAA WAKATI WA KIMBUNGA
Ondoeni Shaka , KILA UBAYA UTALIPWA
Mmoja wao tayali tushamfukiaSasa ni dhahiri kwamba serikali ya Tanzania inawaficha waliomshambulia Lissu Dodoma September 7/9/2017 , hii haina Ubishi .
Bali tunawahakikishia Wapenda haki wote Duniani kwamba WOTE WALIOHUSIKA NA SHAMBULIO LA KISHAMBA DHIDI YA UHAI WA TUNDU LISSU WATAKAMATWA NA MUNGU NA WATAPUKUTISHWA KAMA VUMBI LA MKAA WAKATI WA KIMBUNGA
Ondoeni Shaka , KILA UBAYA UTALIPWA