Mungu atenda miujiza ARUSHA

Mungu atenda miujiza ARUSHA

Diwani Unga Ltd

Senior Member
Joined
Oct 12, 2013
Posts
149
Reaction score
70
Leo ARUSHA imerejea kama zamani ni mvua kubwa ya barafu imenyesha kama zamani Kila kona ni barafu NA mtiririko WA maji NA barafu.

lakini nimehuzunika uzinduzi wetu WA kampeni za CCM zimekwama NA hii mvua

anyway hawa CHADEMA wanatukimbiza huku jamani
 
Leo ARUSHA imerejea kama zamani ni mvua kubwa ya barafu imenyesha kama zamani Kila kona ni barafu NA mtiririko WA maji NA barafu.

lakini nimehuzunika uzinduzi wetu WA kampeni za CCM zimekwama NA hii mvua

anyway hawa CHADEMA wanatukimbiza huku jamani

Huku CCM ilishazikwa rasmi juzi. Msumali wake wa mwisho kwenye jeneza lake ulikuwa ni Escrow. Waimba mapambio ya kuipeleka kaburini walikuwa ni Hawa Ghasia, Mzee wa Ashki Majnuni, Asumpta Mshama, Mwalimu Mariam Kisanji, Kibajaji, Membe, Chenge, Tibaijuka na wajinga wenginewe waliojazana humo
 
Leo ARUSHA imerejea kama zamani ni mvua kubwa ya barafu imenyesha kama zamani Kila kona ni barafu NA mtiririko WA maji NA barafu.

lakini nimehuzunika uzinduzi wetu WA kampeni za CCM zimekwama NA hii mvua

anyway hawa CHADEMA wanatukimbiza huku jamani
Yaani hao CHADEMA wameishiwa sera na wakaja na mvua ya mawe?
Tutawakausha tu.
 
Ccm kwaheri, npo njian natoka dar kwenda vlg kwang huko dom kwenda kusaidia makamanda wa huko kuizika ccm, ntapanga majesh ya ushindi trh 14 ni mkesha vlg kwang, make hapana dalil ya majambaz ccm kushinda hata ktongoj kimoja
 
Hizi mvua vibaka wanazipenda sana wafanye uporaji.
Makamanda wa Chadema wavunja sana majumba ya watu
 
.... Acha Unafiki, Si Umwambie Tu Amekosea?

Mi nadhani mdau hajui kiswahili labda! Maana hata jina lake Swissme linaonekana la mbele mkuu! Ntafuta maana ya seruji ntarejea punde!
 
Leo ARUSHA imerejea kama zamani ni mvua kubwa ya barafu imenyesha kama zamani Kila kona ni barafu NA mtiririko WA maji NA barafu.

lakini nimehuzunika uzinduzi wetu WA kampeni za CCM zimekwama NA hii mvua

anyway hawa CHADEMA wanatukimbiza huku jamani

Arusha mtapata sana neema sio mvua tu, yule msukule aliyekuwa anawaletea gundu Mkuu wa Mkoa Magesa Mulugo, sorry Mulongo amehamishwa baada kumshindwa kamanda Godbless Lema.

Amepelekwa Mwanza kupambana na Generali Hezekiah Wenje kule Mwanza.

Nasikia juzi ameripoti kwa kuanza na midharau yake alipokuwa anaongea na wafanyakazi wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza na madiwani akaanza kuwakoromea eti atawafukuza kazi watumishi wote akiwemo Mkurugenzi wa Jiji hilo na Mkuu wa Wilaya kisa ujenzi wa maabara haujakamilika!.

Sifa kwa diwani wa Kata ya Mbugani Mhe. Hassan Kijuu aliyesimama na kumtoa nishai kwa kumuuliza amekuja Mwanza na shilingi ngapi kabla ya kuanza vitisho, jamaa akajaa upepo na kuamuru Mheshimiwa Diwani atoke nje ya ukumbi.

Minong'ono kutoka kwa wana Mwanza ni kwamba Mkuu huyo mpya wa Mwanza hatadumu mkoani humo kutokana na dharau zake zilizotukuka, watu wamekasirika sana kuchangia ujenzi wa maabara lakini yeye amefika na kubeza bila kusema Serikali imechangia shilingi ngapi na huko Arusha alikotoka amekamilisha ujenzi huo au analeta uchuro Mwanza?.

Ninamshauri mheshimiwa huyu kama kweli ni jasiri aiombe serikali yake chenji ya fedha za Escrow zisaidie ujenzi wa maabara badala ya kuwa mkali kama mtu aliyechanganyikiwa kisaikolojia!, Hakika mkosi umeingia Mwanza mvua hazitanyesha tena, hongera A Town kwa kuanza kupata neema ya mvua!!
 
Ccm kwaheri, npo njian natoka dar kwenda vlg kwang huko dom kwenda kusaidia makamanda wa huko kuizika ccm, ntapanga majesh ya ushindi trh 14 ni mkesha vlg kwang, make hapana dalil ya majambaz ccm kushinda hata ktongoj kimoja

Baaada ya uchaguzi utupe updates za matokeo tuone uhusiano wa maneno yako na kilichofanyika
 
Its called hail storm... If it can hail also It can snow.
 
Leo ARUSHA imerejea kama zamani ni mvua kubwa ya barafu imenyesha kama zamani Kila kona ni barafu NA mtiririko WA maji NA barafu.

lakini nimehuzunika uzinduzi wetu WA kampeni za CCM zimekwama NA hii mvua

anyway hawa CHADEMA wanatukimbiza huku jamani
Kwa ccm bado inaitamani Arusha?
 
Back
Top Bottom