Uwe umeoa, au haujaoa, uwe na mpenzi au rafiki......Tatizo kubwa ni ubinafsi.. Selfishness.. ubinafsi.. either kwa mwanume au kwa mwanamke unakufanya usahau ahadi zetu, Pepo la ubinafsi likikuingia linakufanya upate tamaa, udanganye, utafute nyumba ndogo, n.k. Hivyo vingine vyote ni matokeo au outcomes ubinafsi wetu....Ukiweza kushinda ubinafsi..utamfikiria mwenzako, utahisi machungu yake, utathamini mchango wake, utajiweka nyuma badala ya kimbelembele..