God is Dead
JF-Expert Member
- Jan 11, 2019
- 1,313
- 1,529
Ukipita mtaani utasikia walokole wakitamba, yaani haya maisha bila Mungu sijui yangekuaje,
Haya madai ya kwamba mungu ndio anasimamia amani ya maisha ya huyu mnyama ni ya Nani, Amekufa Amekufa Amekufa
Nimlete kwenu, mwali mpya, mwali wa asili, mwali asiyejali kuhusu uongo na ukweli, mwali huyu kinachomtia kinyaa ni ujinga,
Mwali ni mpya, mwali anasomeka, sio Kama yule mwali wa ukoo wa daudi, huyu ametoka kwa baba kweli, uzao wake ndio unachipuka kutoka ubavu wake wa fahamu,
Bado hajazaa vichaa, wala mashetani,
Hana laana maana anatoka kwa baba mwenye njama, mwali ataishi milele na Jina lake litabarikiwa na vizazi vyote
Mwali hana makuu, sio mbaguzi, anapokea mapokeo yote, mwali ndio kwanza mbichi, huku kwetu ni wachache wanaweza kulipia mahari yake kwa sasa, na wengi waliofanikiwa kumlipia bado anawasumbua, niwakumbushe hapendi ujinga,
Kwa magharibi, mwali anatamba, kuna jamaa alikuwa Hana mwili lakini wazee walimpa mwali na akaheshimiwa na tutamheshimu milele, kwani jamaa alimzalisha mwali, pia huyu mwali sifa yake nyingine, hachagui jinsia kupenda, wala rangi ya mwili, anapenda yeyote, tajiri na masikini Kama wasemavyo waswahili,
Ntarudi kumpa sifa mwali mpya, maana yeye ndio mwali wa kweli, mwali kutoka kwa baba, aliyezaliwa Kama mwana, kwaajili ya wanadamu wote,
Mwali huyu sifa zake ni pamoja na kukomboa wanadamu kutoka kwenye dhambi ya asili, dhambi inayosumbua wanyama wote, ambao Mpaka wawe na macho ndio waone
Haya madai ya kwamba mungu ndio anasimamia amani ya maisha ya huyu mnyama ni ya Nani, Amekufa Amekufa Amekufa
Nimlete kwenu, mwali mpya, mwali wa asili, mwali asiyejali kuhusu uongo na ukweli, mwali huyu kinachomtia kinyaa ni ujinga,
Mwali ni mpya, mwali anasomeka, sio Kama yule mwali wa ukoo wa daudi, huyu ametoka kwa baba kweli, uzao wake ndio unachipuka kutoka ubavu wake wa fahamu,
Bado hajazaa vichaa, wala mashetani,
Hana laana maana anatoka kwa baba mwenye njama, mwali ataishi milele na Jina lake litabarikiwa na vizazi vyote
Mwali hana makuu, sio mbaguzi, anapokea mapokeo yote, mwali ndio kwanza mbichi, huku kwetu ni wachache wanaweza kulipia mahari yake kwa sasa, na wengi waliofanikiwa kumlipia bado anawasumbua, niwakumbushe hapendi ujinga,
Kwa magharibi, mwali anatamba, kuna jamaa alikuwa Hana mwili lakini wazee walimpa mwali na akaheshimiwa na tutamheshimu milele, kwani jamaa alimzalisha mwali, pia huyu mwali sifa yake nyingine, hachagui jinsia kupenda, wala rangi ya mwili, anapenda yeyote, tajiri na masikini Kama wasemavyo waswahili,
Ntarudi kumpa sifa mwali mpya, maana yeye ndio mwali wa kweli, mwali kutoka kwa baba, aliyezaliwa Kama mwana, kwaajili ya wanadamu wote,
Mwali huyu sifa zake ni pamoja na kukomboa wanadamu kutoka kwenye dhambi ya asili, dhambi inayosumbua wanyama wote, ambao Mpaka wawe na macho ndio waone