B.4really
Senior Member
- Jan 30, 2013
- 199
- 89
Nimefurahishwa na kitendo cha utu aliouonyesha Rais wa JMT cha kuamuru fedha kiasi cha zaidi ya Tsh mil.225 zilizokuwa zimechangishwa na wahisani mbalimbali kwa ajili ya pongezi kwa wabunge na ufunguzi wa bunge LA 11 kupelekwa Hosp ya muhimbili kwa ajili ya kununulia vitanda,kiukweli jambo hili ni zuri na ni jema kwa nchi yetu na ni funzo kwa baadhi ya viongozi wapenda anasa na wasio na mioyo ya huruma kwa wananchi na taifa hili kwa ujumla na umetuonesha na kutudhihirishia uongozi sio anasa Bali ni utu na uwajibikaji kwa waliokupa dhamana.
Mwenyezi mungu akubariki na akuongoze kwa kila ulitendalo
Mwenyezi mungu akubariki na akuongoze kwa kila ulitendalo