Mumewe atembea na msichana wa kazi na kupangisha nae chumba mtaa wa pili

Emoj

JF-Expert Member
Oct 9, 2015
839
1,304
Baadhi ya wanaume ni shida tupu yaani unaweza ua mtu hivihivi maana ni afadhali kufungwa jela hata miaka mia kuliko kuvumilia kumuona bado anaishi.
Yamemkuta mdada family friend wetu, huyu dada namfahamu toka tukiwa wadogo kweli ana tabia nzuri mpole na mambo mengi ni msomi na ana kazi yake nzuri tu.

Kwenye mapenzi wakapendana na mkaka dreva tax wakaoana miaka sita sasa na wamejaliwa watoto wawili, baada ya kuoana kwa vile mdada alikuwa na kazi nzuri anafanya airport akamununulia mkaka gari ili aachane na kumfanyia mtu mwingine kazi aendeshe gari lao na pia mdada akafungua grocery msimamizi mkuu mume wake, mwanaume kawa royal maisha mazuri.

Hivi karibuni ndoa yao ikaanza kuyumba ndo bibie kanishirikisha kwamba anahisi mumewe anatoka kimapenzi na house girl wake maana house girl siku hizi hamueshimu kama zamani, mi nikamwambia usiwaze vibaya labda housegirl ana mambo yake tu si unajua tena hawa ni wakuwabembeleza na ukizingatia una mtoto mdogo na akaniambia pia hela ya grocery hajui zinaenda wapi kila akimuuliza mumewe vipi anadai biashara hakuna ila vitu vinaisha, akimuuliza mbona sasa vitu vinapungua na unasema hujauza wakati hapa center nzuri ya biashara anamjibu nimekunywa mimi grocery mwaka tu mtaji mwanaume kaufirisi ikabidi wafunge.

Hee! Jana bibie si kawafumania kweli housegirl na mume, jamani mdada wa watu kachoka ni kulia tu halafu mume wake anamwambia ndo hivyo fanya chochote utachoamua kufanya!Nyumba waliokuwa wanaishi ya kupanga alipangishiwa mdada kazini so wanaishi hapo na mume ili awe karibu na kazi ndo mdada kumwambia mume aondoke atoe kila kilicho chake asepe maana hapo kwake, mume katoa vitu vyake huwezi amini si mwanaume kaondoka na mfanyakazi wakaenda mtaa wa pili kupangisha na mfanyakazi.

Mdada ananiomba ushauri nimesikia kutetemeka haivumiliki kumuacha kuona huyo mwanaume wakiishi pamoja na mfanyakazi wanaume mnataka nini? Kwanini mnasababishia wanawake matatizo jamani tena mama watoto wako hadi kufikia hatua ya kumdharau kiasi cha kutembea na mfanyakazi wa ndani kwake kabisa, si bora basi ungetafuta mwanamke huko nje, hata kama mwanamke ana kosa ila ni vyema angemwambia au basi afadhali mara mia angetoka kutembea na mwanamke mwingine huko nje basi na sio housemaid wake.

Na kwa huyu dada kusema labda mdada kamuachia housegirl amuhudumie mumewe hapana,huyu dada namjua anajituma sana na ni mtu anayepinga sana housegirl kumuhudumia mume.Wanaume nini kinawasumbua? Kwanini kama unajua ukiingia kwenye ndoa huwezi kutulia usiache kabisa kuoa.
 
Baadhi ya wanaume ni shida tupu yaani unaweza ua mtu hivihivi maana ni afadhali kufungwa jela hata miaka mia kuliko kuvumilia kumuona bado anaishi.
Yamemkuta mdada family friend wetu , huyu dada namfahamu toka tukiwa wadogo kweli ana tabia nzuri mpole asie na mambo mengi ni msomi na ana kazi yake nzuri tu . kwenye mapenzi wakapendana na mkaka dreva tax wakaoana miaka sita sasa na wamejaliwa watoto wawili,
Baada ya kuoana kwa vile mdada alikuwa na kazi nzuri anafanya airport akamununulia mkaka gari ili aachane na kumfanyia mtu mwingine kazi aendeshe gari lao.na pia mdada akafungua grocery msimamizi mkuu mume wake.Mwanaume kawa royal maisha mazuri.
Hivi karibuni ndoa yao ikaanza kuyumba ndo bibie kanishirikisha kwamba anahisi mumewe anatoka kimapenzi na house girl wake maana house girl siku hizi hamueshimu kama zamani, mi nikamwambia usiwaze vibaya labda housegirl ana mambo yake tu si unajua tena hawa ni wakuwabembeleza na ukizingatia una mtoto mdogo.na akaniambia pia hela ya grocery hajui zinaenda wapi kila akimuuliza mumewe vipi anadai biashara hakuna ila vitu vinaisha,akimuuliza mbona sasa vitu vinapungua na unasema hujauza wakati hapa center nzuri ya biashara anamjibu nimekunywa mimi. grocery mwaka tu mtaji mwanaume kaufilisi ikabidi wafunge.
Hee! Jana bibie si kawafumania kweli housegirl na mume. jamani mdada wa watu kachoka uwiii ni kulia tu halafu mume wake anamwambia ndo hivyo fanya chochote utachoamua kufanya!!.
Nyumba walokuwa wanaishi ya kupanga alipangishiwa mdada kazini so wanaishi hapo na mume ili awe karibu na kazi ,ndo mdada kumwambia mume aondoke atoe kila kilicho chake asepe maana hapo kwake,Mume katoa vitu vyake huwezi amini si mwanaume kaondoka na mfanyakazi wakaenda mtaa wa pili kupangisha na mfanyakazi uwiiiiiii jamani!. mdada ananiomba ushauri nimesikia kutetemeka nimemwambia amuue tu huyu mwanaume Afanye tu namna amkabe koo uwiiiiii maana hii haivumiliki kumuacha kuona akiwa hai huyo mwanaume wakiishi pamoja na mfanyakazi ,uwiii mi ningeua kwa mikono yangu kabisa.Mungu anisamehe.ni nini hichiii????!!!.
wanaume mnataka nini??? kwanini mnasababishia wanawake matatizo jamani tena mama watoto wako hadi kufikia hatua ya kumdharau kiasi cha kutembea na mfanyakazi wa ndani kwake kabisa???? si bora basi ungetafuta mwanamke huko nje???? Hata kama mwanamke ana kosa ila ni vyema angemwambia au basi afadhali mara mia angetoka kutembea na mwanamke mwingine huko nje basi na sio housemaid wake
Na kwa huyu dada kusema labda mdada kamuachia housegirl amuhudumie mumewe hapana,huyu dada namjua anajituma sana na ni mtu anayepinga sana housegirl kumuhudumia mume.
Wanaume nini kinawasumbua?? kwanini kama unajua ukiingia kwenye ndoa huwezi kutulia usiache kabisa kuoa????.
Napenda unavolia uwiiii!! Napata Picha ukiwa kwa bed!!nimekupenda aisee unaonekana unajua hata kujiliza kimahaba
 
Kwa hiyo ww na rafiki yako ndio mmeona kuua ndio best solution? Kipofu hawezi kumuongoza kipofu mwenziye hata siku moja.
 
Wanawake bhana!

1. "Akamwambia atoe vitu vyake asepe."

2. "Mume akatoa vitu vyake, akasepa na house girl na kupanga mtaa wa pili."

3. "Aliposikia hivyo, akaumia sana na ananiomba ushauri afanye nini?!"

Umemsepesha wewe mwenyewe, unatulilia sisi tukusaidie nini?! Ungekuwa na akili ungemsepesha house girl ukaanza moja na mumeo! Ndoa si kitu rahisi.
 
You must understand life goes on and will continue even if you go to jail. Why kill someboy? The best punishment to somebody who takes away your wife/husband is to let him/her have him/her. Soon he/she will be so fed up with her/him such such that he/she will wish to kill herself for the sake of proving her/his love to you. So, keep your cool and time will heal everything.
 
Another free advise is to keep your isssues close to your heart and never put in such a public place since no real advice will come out of it. If things become so messy in your house involve close relatives who know you better and can advise you appropriately coz sometimes it is you who is the source of all troubles in your family. Labda hata jamaa mshumaa unawaka na kila siku wewe hutaki. Afanyeje tofauti na kumkimbilia anayesikia na kumtatulia shida zake?
 
Baadhi ya wanaume ni shida tupu yaani unaweza ua mtu hivihivi maana ni afadhali kufungwa jela hata miaka mia kuliko kuvumilia kumuona bado anaishi.
Yamemkuta mdada family friend wetu , huyu dada namfahamu toka tukiwa wadogo kweli ana tabia nzuri mpole asie na mambo mengi ni msomi na ana kazi yake nzuri tu . kwenye mapenzi wakapendana na mkaka dreva tax wakaoana miaka sita sasa na wamejaliwa watoto wawili,
Baada ya kuoana kwa vile mdada alikuwa na kazi nzuri anafanya airport akamununulia mkaka gari ili aachane na kumfanyia mtu mwingine kazi aendeshe gari lao.na pia mdada akafungua grocery msimamizi mkuu mume wake.Mwanaume kawa royal maisha mazuri.
Hivi karibuni ndoa yao ikaanza kuyumba ndo bibie kanishirikisha kwamba anahisi mumewe anatoka kimapenzi na house girl wake maana house girl siku hizi hamueshimu kama zamani, mi nikamwambia usiwaze vibaya labda housegirl ana mambo yake tu si unajua tena hawa ni wakuwabembeleza na ukizingatia una mtoto mdogo.na akaniambia pia hela ya grocery hajui zinaenda wapi kila akimuuliza mumewe vipi anadai biashara hakuna ila vitu vinaisha,akimuuliza mbona sasa vitu vinapungua na unasema hujauza wakati hapa center nzuri ya biashara anamjibu nimekunywa mimi. grocery mwaka tu mtaji mwanaume kaufilisi ikabidi wafunge.
Hee! Jana bibie si kawafumania kweli housegirl na mume. jamani mdada wa watu kachoka uwiii ni kulia tu halafu mume wake anamwambia ndo hivyo fanya chochote utachoamua kufanya!!.
Nyumba walokuwa wanaishi ya kupanga alipangishiwa mdada kazini so wanaishi hapo na mume ili awe karibu na kazi ,ndo mdada kumwambia mume aondoke atoe kila kilicho chake asepe maana hapo kwake,Mume katoa vitu vyake huwezi amini si mwanaume kaondoka na mfanyakazi wakaenda mtaa wa pili kupangisha na mfanyakazi uwiiiiiii jamani!. mdada ananiomba ushauri nimesikia kutetemeka nimemwambia amuue tu huyu mwanaume Afanye tu namna amkabe koo uwiiiiii maana hii haivumiliki kumuacha kuona akiwa hai huyo mwanaume wakiishi pamoja na mfanyakazi ,uwiii mi ningeua kwa mikono yangu kabisa.Mungu anisamehe.ni nini hichiii????!!!.
wanaume mnataka nini??? kwanini mnasababishia wanawake matatizo jamani tena mama watoto wako hadi kufikia hatua ya kumdharau kiasi cha kutembea na mfanyakazi wa ndani kwake kabisa???? si bora basi ungetafuta mwanamke huko nje???? Hata kama mwanamke ana kosa ila ni vyema angemwambia au basi afadhali mara mia angetoka kutembea na mwanamke mwingine huko nje basi na sio housemaid wake
Na kwa huyu dada kusema labda mdada kamuachia housegirl amuhudumie mumewe hapana,huyu dada namjua anajituma sana na ni mtu anayepinga sana housegirl kumuhudumia mume.
Wanaume nini kinawasumbua?? kwanini kama unajua ukiingia kwenye ndoa huwezi kutulia usiache kabisa kuoa????.


Huo demu mwambie afute machozi na ajifunze siku nyingine atafute Mwanaume saizi yake yaani wanaolinagana Elimu, Malezi, Kipato na Tabia vinginevyo atalizwa tena!
 
hana haja ya kuipa hatia ya damu mikono yake after all atakuwa kampumzisha na adha za hapa duniani they say what goes around comes around aache tu kwa wakati wake machozi yake yatalipwa na huyo mwanaume ataiona joto ya jiwe tu
 
Back
Top Bottom