Burillo Jr
Member
- Jul 24, 2023
- 31
- 83
George anaweza kuolewa ?
Wanaolewa wakina Juma sembuse George?George anaweza kuolewa ?
Nilitaka nimtukane nkasema hayanihusu, hapa hamna mwanamke ni takataka kabisaWewe huna akili na ni mmoja wa mwanamke mpumbavu. Nakazia Matusi ya Mumeo. Na hutakiwi kurudiwa na mumeo.
Unawezaje kuchukua scarce resource za mumeo unamkopesha X.. ( mtu Baki bila kumtaarifu mwenye Pesa)
Yani
We dada dishi limeyumba, hufai kuwa mke wa mtu we unafaa kuwa meanamke wa kuliwa na kuachwaNimeondoka nyumbani kwangu huu ni mwezi wa pili! Mume wangu kuna hela alinipa kama milioni 2, kwaajili ya kumuwekea. Mume wangu alikua ni mfanyakazi wa kampuni moja binafsi, sasa katika kampuni yao ni kama wanataka kuifunga hivyo mkataba ukiisha hakuna anayeongezewa mpya.
Mkataba wa mume wangu ulikua unaisha mwezi uliopita, tangu mwaka jana alijua kuwa ataachishwa kazi akawa anaweka hele zake kwenye akaunti yangu akihofia yeye kuzitumia
Lengo ilikua ni kazi ikiisha basi aanze biashara ikishasimama basi NSSF yake itakua imetoka anaongezea mtaji. Kuna Kaka nilikua naye kwenye mahusiano kabal ya mume wangu, tuliachana akaoa sasa tuliehndelea bdao kuwasiliana na mara nyingi alikua ananiambia kuhusu mambo yake ya ndoa na changamoto anazopitia.
Yeye ana kakampuni kakukopesha, nilipomuambia kuhusu hela ya mume wangu aliniambia kama vipi nimpe aizungushie ili kunilipa riba. Kwakua ni mtu nilikua namuamini na najua ana hela nilikubali, nikampa ile milioni mbili. Shida ikaja kwenye kunilipa, akawa ananisumbua ananiambia biashara zake haijaenda vizuri na mambo kibao.
Tulikua tunagombana kila siku, katika kutukanana na yule Kaka ndiyo mume wangua akasikia akawa ananifuatilia akajua kuwa nimegawa hela zake tena kwa X wangu kwani anamjua. Alinitukana sana, alinitukana maneno ya kunidhalilisha, alikua na hasira sana mpaka kunitukania Mama yangu!
Kwa hasira niliondoka nyumbani, nikaenda kwa dada yangu ambapo nipo mpaka sasa. Shida nikuwa, mume wangu alipiga simu mara moja tu, alipojua niko salama kwa dada yangu mpaka leo hajanitafuta. Niliacha wtaoto wawili wote wanasoma, kawachukua kawpaleka kwa Mama yake kijijini bila kuniambia yeye anaendelea na maisha.
Dada ananiambia niende kumuomba msamaha lakini sitaki kwani alinidhalilisha sana, hasa kunitukania mama yangu. Nina hasira nataka anipigie yeye simu kuniomba msamaha hata kama nilimkosea lakini hakupaswa kunitukana vile, sijui nafanya ninia niombe msamaha kwani hapa kwa dada washanichoka wananifanyia visa tu na mimi sipendi, X wangu hela ndiyo kagoma kunilipa mpaka kaniblock nisidie kaka nifanye nini?
Nadhani wewe ndiye mwenye shida tena kubwa. Kosa lako la kwanza ni kuwasiliana na huyo x-wako, kosa la pili ni kutokumshirikisha mume wako kuhusu hela (kumbuka mumeo ana hekima sana, na anakupenda ndiyo maana alikushirikisha kwenye mambo yake). Kosa la tatu ulishindwa kuelewa namna ya kumu approach baada ya hela kushindwa kurudisha. Kosa la nne ni kukombia nyumbani kwako badala ya kutafuta watu wenye hekima wawshauri. Kosa la nne ni kuendelea kujiona wewe siyo mkosaji wakati wewe ndiye mwenye makosa. Cha kufanya, tumia mbinu hata kama za kichawi (Mshana Jr hapa anahusika mtafute), hakikisha huyo x-wako anarudisha hiyo hela. Yaani nenda umtishie hata kwa ndoa yake etc, toa sadaka etc hiyo hela itarudi. Wakati huo huo nenda nyumbani kwa wazazi wa mumeo waeleze scenario (ila inaweza kuwa ngumu kukuamini kama hukufanya mapenzi na huyo x wako). Ikishindikana kabisa zoea maana wewe ndiye umeratibu kuvunjika ndoa yako. Na alivyomtukana mama yako ni kwa sababu Mama yako hakukulea na kukufundisha maadili.Nimeondoka nyumbani kwangu huu ni mwezi wa pili! Mume wangu kuna hela alinipa kama milioni 2, kwaajili ya kumuwekea. Mume wangu alikua ni mfanyakazi wa kampuni moja binafsi, sasa katika kampuni yao ni kama wanataka kuifunga hivyo mkataba ukiisha hakuna anayeongezewa mpya.
Mkataba wa mume wangu ulikua unaisha mwezi uliopita, tangu mwaka jana alijua kuwa ataachishwa kazi akawa anaweka hele zake kwenye akaunti yangu akihofia yeye kuzitumia
Lengo ilikua ni kazi ikiisha basi aanze biashara ikishasimama basi NSSF yake itakua imetoka anaongezea mtaji. Kuna Kaka nilikua naye kwenye mahusiano kabal ya mume wangu, tuliachana akaoa sasa tuliehndelea bdao kuwasiliana na mara nyingi alikua ananiambia kuhusu mambo yake ya ndoa na changamoto anazopitia.
Yeye ana kakampuni kakukopesha, nilipomuambia kuhusu hela ya mume wangu aliniambia kama vipi nimpe aizungushie ili kunilipa riba. Kwakua ni mtu nilikua namuamini na najua ana hela nilikubali, nikampa ile milioni mbili. Shida ikaja kwenye kunilipa, akawa ananisumbua ananiambia biashara zake haijaenda vizuri na mambo kibao.
Tulikua tunagombana kila siku, katika kutukanana na yule Kaka ndiyo mume wangua akasikia akawa ananifuatilia akajua kuwa nimegawa hela zake tena kwa X wangu kwani anamjua. Alinitukana sana, alinitukana maneno ya kunidhalilisha, alikua na hasira sana mpaka kunitukania Mama yangu!
Kwa hasira niliondoka nyumbani, nikaenda kwa dada yangu ambapo nipo mpaka sasa. Shida nikuwa, mume wangu alipiga simu mara moja tu, alipojua niko salama kwa dada yangu mpaka leo hajanitafuta. Niliacha wtaoto wawili wote wanasoma, kawachukua kawpaleka kwa Mama yake kijijini bila kuniambia yeye anaendelea na maisha.
Dada ananiambia niende kumuomba msamaha lakini sitaki kwani alinidhalilisha sana, hasa kunitukania mama yangu. Nina hasira nataka anipigie yeye simu kuniomba msamaha hata kama nilimkosea lakini hakupaswa kunitukana vile, sijui nafanya ninia niombe msamaha kwani hapa kwa dada washanichoka wananifanyia visa tu na mimi sipendi, X wangu hela ndiyo kagoma kunilipa mpaka kaniblock nisidie kaka nifanye nini?
Kadada kangese aka ndio mana anaitwa GEORGE ALOYCENadhani wewe ndiye mwenye shida tena kubwa. Kosa lako la kwanza ni kuwasiliana na huyo x-wako, kosa la pili ni kutokumshirikisha mume wako kuhusu hela (kumbuka mumeo ana hekima sana, na anakupenda ndiyo maana alikushirikisha kwenye mambo yake). Kosa la tatu ulishindwa kuelewa namna ya kumu approach baada ya hela kushindwa kurudisha. Kosa la nne ni kukombia nyumbani kwako badala ya kutafuta watu wenye hekima wawshauri. Kosa la nne ni kuendelea kujiona wewe siyo mkosaji wakati wewe ndiye mwenye makosa. Cha kufanya, tumia mbinu hata kama za kichawi (Mshana Jr hapa anahusika mtafute), hakikisha huyo x-wako anarudisha hiyo hela. Yaani nenda umtishie hata kwa ndoa yake etc, toa sadaka etc hiyo hela itarudi. Wakati huo huo nenda nyumbani kwa wazazi wa mumeo waeleze scenario (ila inaweza kuwa ngumu kukuamini kama hukufanya mapenzi na huyo x wako). Ikishindikana kabisa zoea maana wewe ndiye umeratibu kuvunjika ndoa yako. Na alivyomtukana mama yako ni kwa sababu Mama yako hakukulea na kukufundisha maadili.
Nimesoma zaidi ya mara moja naona hilo jina halafu maelezo ya kike. Haya yatakuwa mambo ya multiple ID'sHalafu unaitwa George Aloyce...
Dah aisee mi ninge UA🤣😄😄, mshamba_hachekwi una ikumbuka hiyo scene 😆Skyler where's our drug Money?
You gave it to Ted?
Hahahahahahahaha hahahahahahahaha hahahaha!