Mume wangu hanitoshelezi, kimwili na kimahitaji

Mm skuafik uachane nae,h
Hapo ni suala la kukaa na kuona mtawezaje kusolve swala hilo,mmeo yuko na mawazo ya kutafuta pesa ili akutimizie mahitaj,alafu hilo suala la kumtegemea mmeo tu akutimizie mahitaj paspo wew kujishughulisha kuhakikisha unapata mahitj pmj syo,!!!!,tafuta na wew hela umpunguzie mmeo mzgo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uyo atakuwa ni mwanaume wa dar.
Karibu Kwetu kwa W A N A M U M E watokao kanda ya ziwa uje uchezee mshomboko
 
Hizi serikali sijui zitamaliza lini matatizo yake.

Sent from my Priceless H40-D00 Bombadier
 
nenda kwa baba paroko alowafungisha pinguu, au sheikh kama n waislamu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bado cjaoa ila najaribu kuwaza kwa sauti HV ni sawa kwa mke kupublish vitu kama HV?!!!
 
Kati ya hivyo viwili wewe unamtosheleza na nini,,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…