Kukudume2013
JF-Expert Member
- Jan 8, 2013
- 1,659
- 730
Nenda kwao mwanaume ukaseme kuhusu hiyo issue.pengine alishawahi kuugua uchizi au ni mvuta bange .halafu uwambie hao wazazi wao kuwa unakwenda kumchukulia rb police maana pengine anaweza kukoma.na pia usikubali kuishi naye tena hata akija kukuomba msamaha ni jambazi huyo.kasome na utaapata mume mwenye heri na wewe