Modoctor gani? wa mambo ya kitimoto??Madoctor njooon huku
[Color= yellow]Triple A[/color]
Watatibu hyo nyama yaModoctor gani? wa mambo ya kitimoto??
Dawa kubwa ukitaka apone Mume wako awache kula kitomoto na nyama ya mbuzi kwani kuna ulazima gani ale hizo nyama? kama anapenda kula nyama mwambie ale nyama ya kondoo na nyama ya kuku au nyama ya bata hazina madhara kwa afya ya binadamu.Wana jamvi naombeni ushauri mume wangu akila nyama ya kitimoto na mbuzi anapatwa na viupele vikubwa mgongoni vyeusi na kuwashwa ameacha kula bado vinamtokea vinakuwa kama chunisi ngumu nyeusi na vunamuwasha, alipewa dawa ya kupaka vikakauka na kubakiza dots nyeusi na wakati mwingine vinamuwasha atumie dawa gani viishe na madots atayatoa na nn maana hawezi vaa t-shirt msaada pls. Asanteni
Watatibu hyo nyama ya
Mbuz
[Color= yellow]Triple A[/color]
Dawa kubwa ukitaka apone Mume wako awache kula kitomoto na nyama ya mbuzi kwani kuna ulazima gani ale hizo nyama? kama anapenda kula nyama mwambie ale nyama ya kondoo na nyama ya kuku au nyama ya bata hazina madhara kwa afya ya binadamu.
Umesahau subira yavuta heriTatizo tangia 2013 Leo ndo mtu anapata ushauri.
Wana jamvi naombeni ushauri mume wangu akila nyama ya kitimoto na mbuzi anapatwa na viupele vikubwa mgongoni vyeusi na kuwashwa ameacha kula bado vinamtokea vinakuwa kama chunisi ngumu nyeusi na vunamuwasha, alipewa dawa ya kupaka vikakauka na kubakiza dots nyeusi na wakati mwingine vinamuwasha atumie dawa gani viishe na madots atayatoa na nn maana hawezi vaa t-shirt msaada pls. Asanteni
Duuuh c atakuwa aneshapona huyu, duuh kitambo sanaTatizo tangia 2013 Leo ndo mtu anapata ushauri.
Yaani tangia enzi za JK ndo anakuja kupata msaada kipindi cha mzee maguTatizo tangia 2013 Leo ndo mtu anapata ushauri.
Mimi sio Dr lakini nina akili kidogo ya kujaaliwa na Mungu wangu,Dawa yake ili asitokew na vipele akila aina hizo za nyama ni kuacha tu kula vitu hivyo basi!Wana jamvi naombeni ushauri mume wangu akila nyama ya kitimoto na mbuzi anapatwa na viupele vikubwa mgongoni vyeusi na kuwashwa ameacha kula bado vinamtokea vinakuwa kama chunisi ngumu nyeusi na vunamuwasha, alipewa dawa ya kupaka vikakauka na kubakiza dots nyeusi na wakati mwingine vinamuwasha atumie dawa gani viishe na madots atayatoa na nn maana hawezi vaa t-shirt msaada pls. Asanteni
Wakati Fulani post huwa zinafichwa humu hazionekani, vipi mmeo amepona.Jamani hakuna wa kunisaidia mbona mko kimya hivi kwenye kujua dawa tafadhalini