BornTown
JF-Expert Member
- May 7, 2008
- 1,716
- 481
Wana jamvi naombeni ushauri mume wangu akila nyama ya kitimoto na mbuzi anapatwa na viupele vikubwa mgongoni vyeusi na kuwashwa ameacha kula bado vinamtokea vinakuwa kama chunisi ngumu nyeusi na vunamuwasha, alipewa dawa ya kupaka vikakauka na kubakiza dots nyeusi na wakati mwingine vinamuwasha atumie dawa gani viishe na madots atayatoa na nn maana hawezi vaa t-shirt msaada pls. Asanteni