mume wa mtu


ahahahahahha wezi wamekutana!panakuwaga patamu hapo! watu8 come zis way!
 
Last edited by a moderator:
Jamaa anajua fika kuwa dada alishajua siku nyingi kuwa yeye ni mume wa mtu; lakini amekauka kwa sababu ya dhiki zake; sasa kaskuti ntampigaje chini huyu bi dada, kaona ngoja nimwambie kwa mdomo wangu mi nimeoa; bado binti akifikiria matumizi anaendelea kula kobisi...dhiki mbaya kweli.

Labda jamaa aje na strategy nyingine ya kutafutia nyumba ndogo nyumba ndogo na kukiri tena mbele yake kuwa nina nyumba ndogo mwingine...ila kwa dhiki hizi mbona bado atakauka.

Wewe kama anampenda kwa nini hakumwumiza roho mkewe kwa kumwambia nina nyumba ndogo badala yake anamwambia yeye nina mke? Nia ni nini hasa? Kama aliweza kuficha siku zote; why now?

Kwani muwa ukishatafunwa unakua na kazi gani kama sio kutupwa?

Angekua anakupenda asingekuambia. Ungekuja kujua mwenyewe.
 
ahahahahahha wezi wamekutana!panakuwaga patamu hapo! watu8 come zis way!

mi nlikuwa mwizi mwanzo ila nakuapia ckujua na kama wa kung'ang'ana ningekuwa mimi kwan hakuniambia nlijua mwenyewe mkewe alijua mume ana mwanamke nje wee nlivyojua mambo yake ambayo cwez kusema mwenzangu atasema yakimsibu ndo mana ili niliyopitia asipitie asidhubutu kuwaza kuachana nae.na najua anaanza chuo ataonana na vijana kila aina ajue hapo kajifunga kamba.ni wake huyo atake asitake.so uongo wa muda waliokutana na eti kamnunulia gari thubutu.pesa za matumiz anapata lakin akidhubutu kumuacha zitamtokea puan.
 
Last edited by a moderator:
hongera lara kwa ushauri mzuri kwa mdada hata mimi niliwaza hilo, atulie asome ila much careful foi HIV
 
Totoz!

Mbona huu ni wimbo wa Bongofleva.
Msanii ni Dataz?
Mbona umeunakili?
Huogopi sheria zinazozuia kunakili kazi ya mtu?

Bazazi!
 
Last edited by a moderator:

Soma hapa chini:
Asilimia 26.5 wanawake hufanya mapenzi kinyume na maumbile - mwanzo - mwananchi.co.tz
 

tena ukimaliza chuo shoga yangu muage kwa sherehe...nialike na mie...mwambie unaenda tafuta mwezi wako wa maisha...mgegedo tena unaishia hapo....sasa ingia kwenye ndoa shoga na wewe ya kukute kama haya ...utajinyongaje???kisengery
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…