Mume wa mtu nouma

sina uhakika na ufahamu wako
 
Tafiti inaonyesha vijana wenye miaka 16-24 ndiyo wanao ongoza kwa maambukizi ya virusi hatari vya ukimwi.
 
Muonee huruma umgaie kidogo maana ndio zenu. Ukisumbuliwa sana unampa ili aache usumbufu.

Baadhi yenu huwa mnasema............HAMCHAGUI HAMBAGUI ATAKAYENIZIKA SIMJUI
 
Mpe tuu uo mzigo maana ndicho anachotaka tuu.mke anae wewe anataka akugonge tuu kwa hamu aendelee na maisha yake na mke wake.
 
Huyo mchumba wako kalamba garasa, namwombea asije jichanganya akakuoa ikala kwake mazima
 
Anakupenda sana sana sana nawe mpende pia.

Pu. mbavu zako ushaitwa Malaya still uauliza kama unapendwa? Una bahati ungekuwa karibu yangu ningekucharaza kama punda wa dobi I hope usingenisahau.

Sent using Jamii Forums mobile app

 
Fact

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ulivyoandika ulirudia kusoma kabla ya ku post? Au umekurupuka kuandika na ku post bila kujua ulichoandika au unatafuta bwana indirect!! Hahaaa
 
Yani miaka 22 ushatolewa bikra kweli kizazi cha nyoka ukifikisha 30 hutakuwa na malinda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo unataka tukushauri namna ya kumsaliti boyfriend wako??[emoji32][emoji32][emoji32]
 
Tamaa zako zitakuponza. Kaa mbali na tamaa za kupendwa pendwa . Kwani mchumba wako hakupendi au
 

Hata akudanganye vipi mke ndo namba 1, kwaiyo we sepa baki na mchumba wako.....huyo mchukulie poa na usimwamini atakachokuambia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…