Mume wa mtu ananitatiza

Kuwa mwaminifu,acha ngono zembe. Anamaanisha wewe ni mtumiwa tu(dampo)
 
Watu wanawinda mithili ya chatu.... Nasubir mrejesho...
 
Nyie waume za watu mtuliage na wake zenu jamani. Acheni kuendekeza michepuko
 
Najua ana mke ila nmeanza kufall na ni my frst mchepuko ila s.times kuna vitu anafanya simuelewi
Kwanini usitulie na wako wanawake bwana, then kesho huyo mwanaume wako akimjua huyo uliyemzungumzia hapa akakupiga chini uje utupe mrejesho pia, na mkewe akikujua atakufanya kitu mbaya chapati utaiita hapati........................
 
Akili yako ni sawa. Utakuwa kati ya wanawake wajinga kama ni kweli uliyoandika ni wewe. Jitulize na ujiulize unayofanya ni sawa. ungefanyiwa wewe ungefurahi. Uzinzi, Uzinzi, ukimwi n.k.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…